Hi thana ya polisi jamii ndiyo inayowaharibia polisi embu iweken pemben mfanyanye kaz watanzania bado hawajaelimika vyakutosha kama wenzetu wa majuu,ingekua nikipnd cha mahita haya yote yasingetokea mmezd siasa polisi
Kwan hawa polisi hamjawazoea kitukidogo oh habari za kiintelegensia zilizotufikia,sijui alshabab nan kawaambia alshabab wanakuja kulipua maandamano ya watanzania kwan 2nabifu nao. Hapa mwanzo mwisho maandamano palele tangu lini nguvu ya uma ikazuiliwa na virungu na mabomu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.