Unbeleivable!!!Jeshi la polisi kuingilia siasa

Unbeleivable!!!Jeshi la polisi kuingilia siasa

Jeshi la Polisi Tanzania is a big joke!Nikimwona KOVa au Said Mwema kwenye TV nazima kabisa.
 
Yaani kuchagua magaidi
ndiyo waingie Ikulu, Watanzania si wajinga kiasi hicho dogo. 2015 mrithi
wa Kikwete hatoki kwenye genge la watesaji Lenye sura ya chama cha
siasa.

ukiona kijana anashabikia CCM bas anautindio wa ubongo kama jns ulivyo wewe
 
Gari za police zinapita mitaani Arusha zikitangaza marufuku ya maandamano ya chadema kesho kwa mbwembwe na vitisho lakini cha ajabu hawaongelei marufuku ya maandamano ya ccm ambapo mwanzoni walisema zuio linahusiana na mwingiliano wa maombi ya maandamano.

UKWELI WANANCHI WAMEBAKI WANACHEKA NA KUSHANGAA WAKIULIZA"KWANI WANANCHI WAKIANDAMANA KISHA WAWAUE WOTE WATAKUA WANAWATUMIKIA NANI?KWA NINI WASIACHE HOJA ZIJIBIWE NA CHAMA TAWALA??TANGU LINI WAMESAHAU YA KWAMBA WAO NI WALINZI WA RAIA NA MALI ZAO SIO WALINZI WA CHAMA TAWALA???WANANCHI WANASEMA WATATOKA WAJIONEE HUKOHUKO.

Wakuu wenye busara tayari wameshayamaliza huku, si busara watu wanaopigana katika suala moja kuwaacha waandamane pamoja wakati wao wenyewe wanatofautiana katika jambo hilohilo lazima watashikana maana binadamu hatufanani kitabia, kiakili na hata hasira zetu pia hazifanani kwa maana kuna wengine wanahasira za karibu sana na hawana uvumilifu wa jambo wakati wa mabishano, hata kama wewe ungekuwa kiongozi katika mkoa huo sidhani kama ungeruhusu kitu kama hicho kitokea bila ya kuchukua hatua za kuzuia kabla ya maafa kutokea. hakuna jambo linaloshindika kama watu wataamua kukaa mezani na kujadili suala linalowatatiza. njia ya mazungumzo ni njia bora sana katika kutatua migogoro ndani ya jamii, kuna baadhi ya wanajeshi na askari huwa hawapendi kukaa na watu ambao sio wa kada yao kujadili jambo lakini mi nampongeza IGP kwa uamuzi wake.
 
Kila nikisoma maoni hayo sifahamu, umekusudia waislamu ni magaidi au ?
CIA ilitumia sana maaskofu kuangusha utawala wa kijamaa katika nchi huru duniani.hapa tanzania wamejipenyeza sana kwa maaskofu na wanaovaa magwanda
 
Mbona mpaka sasa kimya? Maandamano yameishia wapi? Popo´bawa oyeeeeeeeee
 
Back
Top Bottom