Recent content by aliekatakamba humutuu

  1. A

    Hatimaye mwanamuziki Koffi Olomide mwenye miaka 69 amuoa mchumba wake wa miaka 20

    kwahio binti alivyo zaliwa tu jamaa akampenda na wakawa wachumba?
  2. A

    Wanawake wengi hawawataki wanaume maskini

    tuanze nawewe mkuu.unapenda umasikini?
  3. A

    Mungu haponyi ni juhudi za madaktari na wewe binafsi, lakini je ameshamaliza kuumba?

    Mungu kilakitu alishamaliza kitambo kabla hakijatokea chochote nikama muvi unarekodi halafu watu wanaangalia huku alierekodi anajua kilakitu anakaa pembeni na kuwachora tu
  4. A

    Motivesheni spika punguzeni Ujuaji! Kuna siku mtachapika na hamtaamini

    siwezi kulelewa na mwanamke.mimi nimesomea mechanical engineering upande wa European car electrical na mechanical kichwa kimejaa nondo za magari napiga hela tu mademu wenyewe sasa hivi naagiza vigori tu kutoka singida
  5. A

    Motivesheni spika punguzeni Ujuaji! Kuna siku mtachapika na hamtaamini

    nilifanya vile vitu ninavyo viogopa maranyingi zaidi hadi nikawa gwiji katika umri mdogo kabisa
  6. A

    Motivesheni spika punguzeni Ujuaji! Kuna siku mtachapika na hamtaamini

    utajiri ni kuwekeza tu hakuna siri nyingine. wanao jibana ni vijana wanaotafuta mitaji au pakuanzia na kujibana nimiaka mitano ikizidi hapo jua wewe kuendelea kujibana unajitesa tu akili yako imeishia hapo huwezi fanya lolote bora ule tu milo yako mitatu kwa siku huku ukilipa kodi yachumba
  7. A

    Wahitimu wanne wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) wamefanikiwa kubuni gari inayotumia umeme

    rudia kusoma quote zangu za mwanzo utanielewa nilikuwa nakuuliza nini na unajibu nini😁😁
  8. A

    Wahitimu wanne wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) wamefanikiwa kubuni gari inayotumia umeme

    najua lakini kamera au sensor ya iphone haiwezi kufunga kwenye Samsung hio nakataa
Back
Top Bottom