Mungu kilakitu alishamaliza kitambo kabla hakijatokea chochote
nikama muvi unarekodi halafu watu wanaangalia huku alierekodi anajua kilakitu anakaa pembeni na kuwachora tu
siwezi kulelewa na mwanamke.mimi nimesomea mechanical engineering upande wa European car
electrical na mechanical
kichwa kimejaa nondo za magari napiga hela tu
mademu wenyewe sasa hivi naagiza vigori tu kutoka singida
utajiri ni kuwekeza tu hakuna siri nyingine.
wanao jibana ni vijana wanaotafuta mitaji au pakuanzia
na kujibana nimiaka mitano ikizidi hapo jua wewe kuendelea kujibana unajitesa tu akili yako imeishia hapo huwezi fanya lolote bora ule tu milo yako mitatu kwa siku huku ukilipa kodi yachumba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.