hapana kuna sehemu nilienda kupiga kazi chakula ilikuwa changamoto sehemu hio nikawa napooza njaa kwa soda na mikate usiku ndio nakula wali kama siku tatu hivi ndio shida hii ikaanza
unanitisha mkuu.
ninaogopa kwenda hospitali kwasababu niligugo wakaniambia kama ni vidonda vya tumbo saanyingine unaweza ukanywa madawa na usipone.
daktari hawezi kuacha kukupa dawa ilimradi auze tu mana nibiashara yake
Nahisi hamjambo
Shidayangu nataka mniambie nifanyeje ili tatizolangu liishe kabisa
nikiwa na njaa tumbo linauma na kuwaka moto nakuwa mgonjwa ghafla.nikila tu kama dakika tano maumivu yote yanapotea kabisa nakuwa na furaha
Hii hali imenifanya niwe nakula sana nimekuwa mnene wakati mwili wangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.