Recent content by aliekatakamba humutuu

  1. A

    JamiiForums Tanzania Umewahi kupitia kipindi gani kigumu kwenye maisha?

    Jana nimepigiwa pingu baada ya kukaidi kupeleka mabasi yangu Magufuli stendi
  2. A

    JamiiForums Tanzania Nikiwa na njaa tumbo linauma na kuwaka moto nakuwa mgonjwa ghafla. Msaada wakuu

    hapana kuna sehemu nilienda kupiga kazi chakula ilikuwa changamoto sehemu hio nikawa napooza njaa kwa soda na mikate usiku ndio nakula wali kama siku tatu hivi ndio shida hii ikaanza
  3. A

    JamiiForums Tanzania Nikiwa na njaa tumbo linauma na kuwaka moto nakuwa mgonjwa ghafla. Msaada wakuu

    usikasirike nipe ushauri mkuu
  4. A

    JamiiForums Tanzania Nikiwa na njaa tumbo linauma na kuwaka moto nakuwa mgonjwa ghafla. Msaada wakuu

    hospitali yoyote tu wanavipimo au kuna hospitali maalumu?
  5. A

    JamiiForums Tanzania Nikiwa na njaa tumbo linauma na kuwaka moto nakuwa mgonjwa ghafla. Msaada wakuu

    unanitisha mkuu. ninaogopa kwenda hospitali kwasababu niligugo wakaniambia kama ni vidonda vya tumbo saanyingine unaweza ukanywa madawa na usipone. daktari hawezi kuacha kukupa dawa ilimradi auze tu mana nibiashara yake
  6. A

    JamiiForums Tanzania Nikiwa na njaa tumbo linauma na kuwaka moto nakuwa mgonjwa ghafla. Msaada wakuu

    shida ni maumivu kwanini nikikaa masaa matatu bila kula tumbo liume?
  7. A

    JamiiForums Tanzania Nikiwa na njaa tumbo linauma na kuwaka moto nakuwa mgonjwa ghafla. Msaada wakuu

    Nahisi hamjambo Shidayangu nataka mniambie nifanyeje ili tatizolangu liishe kabisa nikiwa na njaa tumbo linauma na kuwaka moto nakuwa mgonjwa ghafla.nikila tu kama dakika tano maumivu yote yanapotea kabisa nakuwa na furaha Hii hali imenifanya niwe nakula sana nimekuwa mnene wakati mwili wangu...
  8. A

    JamiiForums Tanzania Kwa nini Mungu alimuumba binadamu?

    ili watu wasiwe mashoga kama wewe
  9. A

    JamiiForums Tanzania Nauza account insta 16.4k

    ulikuwa unapost nini ili nijipime
  10. A

    JamiiForums Tanzania Video:- Mama mlokole akamatwa akiwanga Babati

    ngoja wapige hela tu wajinga hawaishi Mkuu.
  11. A

    JamiiForums Tanzania Video:- Mama mlokole akamatwa akiwanga Babati

    wanafuta kesi au sio😁😁😁
Back
Top Bottom