Recent content by Algedo

  1. A

    MEDUSA: Malkia wa Damu

    Unatuweka sana mkuu na hii simuliz yako isije ikawa unampango wa kutuacha njia panda. Mkuu nashukuru story ni tamu na inamafundisho flan tunayapata
  2. A

    Mpenzi wako akifa ndani kwako utafanyaje?

    Kwa nn aje kufia kwangu... ? Anhevia hata njia akiwa anakuja. Au kwamba amekosa kwa kufia hadi aje afie kwangu...? Mada zingine bwana 😂😂😂😂
  3. A

    Naomba msaada wa namna ya kuendana na mwanaume mwenye changamoto za kiuchumi

    Nooo....! Hayo siyo maswasiliano kwa wapendanao. Navyo jua mm kuna mawasiliano more than good morning and good nyt. You know s9metimes kunakupigiana simu atleast usikie tu voice ya yule unaye mpenda mostly kabla ya kulala na ikitokea hakupigii au hamuwasiliani japo hata kwa txt mara kwa mara...
  4. A

    Naomba msaada wa namna ya kuendana na mwanaume mwenye changamoto za kiuchumi

    Jivunie kuwa mwanamke awali ya vyote. Then unajielewa saan, hebu try kumpa mda kwanza then hebu treaty him the way yeye anavyo kutreat ww. Kama akinyamaza juwa ni normal kwake na ww lipoke hilo but kama ikitokea amechukizwa na unavyo mtreat then mwambie ukweli kwamba na ww moyo wako the way...
  5. A

    Si kila mwanamke unayekutana naye ni wa kutembea naye

    Well say Rediicky: Ila most of time mtu unakutana na vishawish kama vyote then ikitokea umeviepuka unaonekana kama ww mwanaume ni Anisi au shoga hv. Hii kwangu inanitokea saan ila binafsi naamini kwenye malengo yangu kwanza
  6. A

    JINI HUSNAT

    Cute emmy bwana😂😂😂. Ww kolq simulizi lazima hyoo comment yako iwepo 🤣🤣🤣. Haya bwana ngoja niisome sasa nijue undani wa story. Maan story kama haina mwisho inakera co poa kabisaa
  7. A

    Wakuu naomba kujua Hili

    😂😂😂 nadhani kabila lako
  8. A

    I love you Anitha

    Uzuri mm cjali😂😂😂 siwezi kuwa anitha.....! Am algedo
  9. A

    SITASAHAU (Kisa Cha Kweli)

    Siku zote naamini sana katika kuipa moyo nafasi ya kusubiri hasa unapofikia hatua ya mahusiano ya kimapenzi. Simulizi ni tamu saan na nimejifunza kitu kikubwa saana. In god we trust na kwake hakuna kisicho wezekana na jina lake lihimidiwe. Hiyo familia bila shaka mungu ameiwekea ngao ambayo...
  10. A

    I miss to love someone

    Na kweli. Ila kuingiza miguu yote miwili hapan aiseh
  11. A

    I miss to love someone

    Hapana aiseh😂😂😂
  12. A

    I miss to love someone

    Shindwa kwa jina la yesu
  13. A

    I love you Anitha

    Hi! Hongereni kwa kuona tena siku mpya ya leo wana JamiiForums. I real love these gal named Anitha i real mic you my lovely sister ingawa tumejuana humu jamii forum but i real feel proud to know you. Nyie watu bwana wakubwa wanafaid saaan aiseh. These gal she is very cute and so social sio...
  14. A

    I miss to love someone

    Thanks. You have such lovely name. Darlin
  15. A

    Just imagine

    Hellow. Sote tunajua wazi kati ya Bar na Bra zikifunguliwa lazima kwa mwanaume yoyote atatokwa na udenda unless awe shoga, anisi au mlokole(hatumii kilevii) So hebu jaribu kuimagine mwanamke aitwe Brabar😂😂😂.
Back
Top Bottom