Mpenzi wako akifa ndani kwako utafanyaje?

Mpenzi wako akifa ndani kwako utafanyaje?

Wakuu kwema?

Huwa najiuliza sana mfano imetokea umekuwa na mahusiano na mwanamke halafu baada ya wiki akaja kwako kulala halafu asubuhi unamuamsha unataka uingie mishe mishe unashangaa haamki, unamtikisa unaona hatikisiki, unammwagia maji haamki. Unahamaki kuona anatokwa povu mdomoni, unamgusa unakuta wabaridi

Unagusa kifuani unashtuka mapigo ya moyo hayadundi. Je, utatoka nje uwajuze majirani? Wataamini vipi kama ni bahati mbaya

Je, utatoroka?? Hapa utakuwa umejivua utu na itaonekana kama ulikusudia

Ukibaki tena ni msala tena msala kwelikweli

Je, utafanyaje??
Unavizia giza limeingia, unatoa mwili unaenda kuutupilia mbali
 
Nilikuwa Tanga demu akaanza kuumwa tumbo usiku hadi analia hapo mie wala sijamgusa. Kusema kweli niliogopa sana na nilikuwa najiuliza huyu akifa hapa ndiyo nafanyaje?
Yule mrembo tulipendana sana na nilijua atakuwa mke wangu. Penzi letu lilisababisha ugomvi mkubwa kati ya dada yake na shemeji yake. Dada mtu ambaye alikuwa akiniona mimi kijana wa maana sana hadi kunisifia kwa wadogo zake wa kike baada ya kujua tu mdogo wake ni mpenzi wangu akanichukia vibaya sana hadi akaanza vitisho kwangu kwamba ataniroga 😂😂😂😂wakati mie nimeweka pamba masikioni. Shemeji alikuwa ananifagilia kwamba atuache na penzi letu hatimaye nao wakaanza kugombana kisa penzi letu. Dada mtu ndiyo akaamua kumhamishia binti Tanga kama vile Tanga na Dar umbali wake ni mbingu na ardhi 😂😂
Mkuu nasubiri muendelezo wa hii issue.
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Nafuu mpenzi wako unaweza kupata utetezi kutoka kwa majirani ambao labda walikuwa wanamuona anavyokuja kwako. Phone records zinaweza kukuokoa pia

Imagine sasa umepitia malaya tu (mtaani/mtandaoni). Hapo ndio utaozea jela
 
Wakuu kwema?

Huwa najiuliza sana mfano imetokea umekuwa na mahusiano na mwanamke halafu baada ya wiki akaja kwako kulala halafu asubuhi unamuamsha unataka uingie mishe mishe unashangaa haamki, unamtikisa unaona hatikisiki, unammwagia maji haamki. Unahamaki kuona anatokwa povu mdomoni, unamgusa unakuta wabaridi

Unagusa kifuani unashtuka mapigo ya moyo hayadundi. Je, utatoka nje uwajuze majirani? Wataamini vipi kama ni bahati mbaya

Je, utatoroka?? Hapa utakuwa umejivua utu na itaonekana kama ulikusudia

Ukibaki tena ni msala tena msala kwelikweli

Je, utafanyaje??


Hayo ndiyo malipo ya uzinzi.🤣
 
Ngoja nimalizie juu juu. Kilichonipeleka ni kumuona mpenzi na kupunguza ugwadu maana kazini nilikuwa busy mno kwa safari za kikazi nikirudi tu Dar Vingunge waliniambia una week tu kuna safari nyingine na kwa kuwa ajira ndiyo iliyokuwa inanifanya nijidai mujini ilikuwa si rahisi kuleta ujuaji na pesa ilikuwa nzuri. Hii ilifanya miezi kadhaa ikatike bila ya kuonana.

Basi nikataka twende hospital lakini mrembo akadai tumbo litatulia lenyewe tu 😳😳😳😳 lilianza kuuma kama saa nne za usiku kufikia saa saba likatulia tuko macho saa zote.

Mrembo akataka nimgegede mie ugwadu wote umekimbia naogopa isije tumbo likaanza tena kuleta rabsha hivyo nikamwambia tulale tu.

Nilikuwa nimepanga nikae wiki lakini asubuhi yake nikaona ni bora tu niondoke hivyo kumtaarifu mrembo kwamba nimeamua kuondoka. Alilalama sana kwa uamuzi wangu na kudai penzi langu kwake limepungua lakini sikubadili mawazo pamoja na kuwa nilimpenda sana.
Mengine kapuni Mkuu si kila kitu cha kuweka hadharani. 😂😂
Mkuu nasubiri muendelezo wa hii issue.
 
Akifia geto unajuta tuu alafu unaenda kunyea debe as simple as that
 
Kwa nn aje kufia kwangu... ? Anhevia hata njia akiwa anakuja. Au kwamba amekosa kwa kufia hadi aje afie kwangu...? Mada zingine bwana 😂😂😂😂
 
Hakuna gunia la mkaa!! Toa taarifa polisi tu.. Tujue angalau historia kidogo ya michepuko mf.magonjwa ya kudumu kama kifafa,moyo,kisukari nk.
Kuna kipindi nilikwenda likizo kijijini kwa bibi, huko nikampata manzi,akanielewa. Tukapanga tufanye matusi vichakani...wakati namwandaa,ile nimepiga romance,akaanza kukakamaa,akaanguka...nikamdaka...akalala..mara povu,mavi,mkojo...nami nilitaka kuzimia(19y mie). Nikakimbia kwa mjomba(anakaa na bibi,sio mbali na tulipo). Tulimkuta amelala,mdomo damu tupu,anakoroma tu..... Kumbe ana kifafa.
Usiombe yakukute.
 
Naifaham, ni muvi kali sana...Jamaa aliua bahati mbaya akaona suluhisho ni kuuteketeza mwili
Haha ahaaaaaaaa!!! Watu ktk kufanya usafi wakakuta pete! Jamaa alikua mzembe sana! Pale angemgegeda yule binti yote yasingetokea!
 
Katakata vipande muweke kwenye fridge,funga fridge washa hadi agande awe barafu,tafuta siku isiyo na jina toa vipande vyako kavitupe mbali kabisa na ukae kimya hivyo hivyo hii iwe siri yako na Mungu tu.
 
Mara ya kwanza namnyandua alizima, kila nikijaribu kumuamsha naona kimya ikabidi nibebe mizigo yangu tayari kwa kusepa... Kufika mlangoni nikaskia mtu kakohoa, kumuuliza anasema hakumbuki chochote dahh!!, na nilivyo nunda nikasaula tena nikaendelea kupiga mashine
Kumbe bhana kila anapofika kileleni lazma akate moto....
Sinza hiyo 2018... Hisani guest house
.... Sabrina alitaka kuniweka matatani, aisee ile siku sitaisahau kwakweli.
 
Hiyo ndo inaitwa shetani kalala nawe..🤣🤣 ikinitokea hii sijui nitafanyaje wakati huo! lkn naimani sitachukua uamuzi mbaya tabu ipo sio kwa huyo bidada mfu tabu ipo kuwashawishi hawa binadamu hai wenye uchu na pesa ya kwamba wewe huusiki na hicho kifo.. hapo ndo panaitwa utamu utamuni..😅
 
Back
Top Bottom