Habari zenu wanajamii forums,
Miezi 6 iliyo pita mahusiano yangu yalivunjika sababu ambazo zilikua juu ya uwezo wangu. Niliamua kujipa mda kuzipumzisha hisia zangu katika swala zima la mahusiano ingawa kwa huu mda ambao nimejipumzisha na telationship nimekua very social na kuwa na rafiki mmoja wa kikr very cute😍😘.
Bad enough she is very lovely and social and mostly very frerly to me na she have a boyfrnd. Nimejikuta tu sasa naamza tna kutamani kuingia kwenye mahusiano nimpende mtoto wa mtu alaf aje anipe pigo moja matata.
Real tokea nijihusushe na mahusiano up side down zimrkua nyingi kiasi kwamba naona bora niendeleh kusubiri wenda mungu anajambo na mm.
Miezi 6 iliyo pita mahusiano yangu yalivunjika sababu ambazo zilikua juu ya uwezo wangu. Niliamua kujipa mda kuzipumzisha hisia zangu katika swala zima la mahusiano ingawa kwa huu mda ambao nimejipumzisha na telationship nimekua very social na kuwa na rafiki mmoja wa kikr very cute😍😘.
Bad enough she is very lovely and social and mostly very frerly to me na she have a boyfrnd. Nimejikuta tu sasa naamza tna kutamani kuingia kwenye mahusiano nimpende mtoto wa mtu alaf aje anipe pigo moja matata.
Real tokea nijihusushe na mahusiano up side down zimrkua nyingi kiasi kwamba naona bora niendeleh kusubiri wenda mungu anajambo na mm.