Hi! Hongereni kwa kuona tena siku mpya ya leo wana JamiiForums.
I real love these gal named Anitha i real mic you my lovely sister ingawa tumejuana humu jamii forum but i real feel proud to know you.
Nyie watu bwana wakubwa wanafaid saaan aiseh. These gal she is very cute and so social sio zile pisi ambazo zikisha jua kwamba yy ni mali safi anaanza kujisikia but yeye yupo tofauti saan na wengine.
Marafiki zake ni watu flan ambao wanamwonekano wa kuvutia na ngozi zao mithili ya mtu kaogea mafuta badala ya maji😍😍.
Anitha Dada yangu pole saan kwa ile threed uliandika kipindi flan nyuma kwamba "boyfrnd wako alikuacha kisa tu hukua na elimu" but now umesoma na huwa mnakutana kwenye ocation tofauti za kikazi. Am proud of you bby anitha. Ningekuwa na umri wa kuoa basi wenda ningetamani ww uwe my gal cause unasifa kibao. I love you 💘 bby Anitha nikiwa na bando nitakutafuta tuchart couz ur the one i miss now. Once again...! I LOVE YOU.😍😘♥❤
I real love these gal named Anitha i real mic you my lovely sister ingawa tumejuana humu jamii forum but i real feel proud to know you.
Nyie watu bwana wakubwa wanafaid saaan aiseh. These gal she is very cute and so social sio zile pisi ambazo zikisha jua kwamba yy ni mali safi anaanza kujisikia but yeye yupo tofauti saan na wengine.
Marafiki zake ni watu flan ambao wanamwonekano wa kuvutia na ngozi zao mithili ya mtu kaogea mafuta badala ya maji😍😍.
Anitha Dada yangu pole saan kwa ile threed uliandika kipindi flan nyuma kwamba "boyfrnd wako alikuacha kisa tu hukua na elimu" but now umesoma na huwa mnakutana kwenye ocation tofauti za kikazi. Am proud of you bby anitha. Ningekuwa na umri wa kuoa basi wenda ningetamani ww uwe my gal cause unasifa kibao. I love you 💘 bby Anitha nikiwa na bando nitakutafuta tuchart couz ur the one i miss now. Once again...! I LOVE YOU.😍😘♥❤