UnAjua si watanzania Sijui akili zetu ziko wapi mnataka wasirushe ili tatizo liendelee kuwepo bila utatuzi mi nazani ni vyema ili yaonekane serikalin ngazi ya juu ili yapate utatuzi wa haraka kumbuka mficha marazi kifo humuumbua
Waacheni ITV waendelee kufichua migogoro sugu serikali ione na...
Bora umwambie sie wananchi wa kawaida tunasingiziwa na wakuu kwamba eti zinatupa hisia hasi kama kuandika jambo kubwa LA mh Nape , binafsi nasema waache kusingizia uvunjifu wa amani kwa kutaka kuficha jambo kama RAIA tunataka kusikia habari zenye mashiko ambazo mwisho wa siku hatukua na jawabu...
Hapana sikuungi mkono ukisema tunawaaminije maana makonda hajaonesha ushirikiano hata chembe ili kuupata ukweli sasa jiulize kwa nini aliwakwepa wanakamati??
W anaoleta haya yote ni viongozi wa serikali wao wenyewe wana uchama kwa nn walitolea povu hivi kwa nguvu zote kana kwamba walikua wanakiendesha chama kupitia hao viongozi ambao walijionesha hawana chama kumbe sio , kwa lisu huo mkono hauta kuwepo utakatiwa chini na lisu endapo atapita tumuombee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.