Recent content by alfredj

  1. alfredj

    Basata mnasubiri nini kumchukulia hatua Ney wa mitego

    Na wewe ni mmoja wao nakuambia huwezi kuwafunga watu midomo Mungu atainua hata mawe yaseme ndio mtashangaa na mjue Mungu si mwanadam aseme uongo
  2. alfredj

    Dkt. Mwakyembe: Sakata la Clouds kwa sasa ushahidi hautoshi kufanya maamuzi

    Wanafikiri sisi wajinga waache kulindana kwa sababu ya kubaki kwenye cheo
  3. alfredj

    Rais Magufuli kwa hili yuko sawa, ITV jirekebisheni

    UnAjua si watanzania Sijui akili zetu ziko wapi mnataka wasirushe ili tatizo liendelee kuwepo bila utatuzi mi nazani ni vyema ili yaonekane serikalin ngazi ya juu ili yapate utatuzi wa haraka kumbuka mficha marazi kifo humuumbua Waacheni ITV waendelee kufichua migogoro sugu serikali ione na...
  4. alfredj

    Prof kujiita "asiyefaa" ni unyenyekevu au kutojitambua?

    Unyenyekevu kwa aliye mweka
  5. alfredj

    Kurugenzi ya Habari Ikulu mwambieni Rais haya kabla ya kulaumu vyombo vya habari

    Bora umwambie sie wananchi wa kawaida tunasingiziwa na wakuu kwamba eti zinatupa hisia hasi kama kuandika jambo kubwa LA mh Nape , binafsi nasema waache kusingizia uvunjifu wa amani kwa kutaka kuficha jambo kama RAIA tunataka kusikia habari zenye mashiko ambazo mwisho wa siku hatukua na jawabu...
  6. alfredj

    Zitto Kabwe: Rais Magufuli amemzuia RC Makonda kutokea mbele ya Kamati ya Bunge

    Mtetea na yai viza Inapoatamiwa ni ziro
  7. alfredj

    Hii ni dharau kubwa sana aliyoifanya mkuu wa mkoa wa DSM dhidi ya waziri wa habari na michezo Mh Nap

    Hapana sikuungi mkono ukisema tunawaaminije maana makonda hajaonesha ushirikiano hata chembe ili kuupata ukweli sasa jiulize kwa nini aliwakwepa wanakamati??
  8. alfredj

    Mwanahabari Jerry Muro ahoji uhalali wa tume ya Mhe. Nape Nnauye

    We nawe unataka polisi ndio wangefanya hii kazi pia huko wasingekua na interest na upande wa pili?
  9. alfredj

    Waziri Nape: Kitendo kilichofanywa na RC Makonda kimenajisi Tasnia ya Habari. Kamati yaundwa...

    Hii ndio elimu tuliyopewa inavyotusaidia kuelewa mambos
  10. alfredj

    Kama TLS watachagua mwanasiasa itakuwa ndio mwisho wa uhusiano wa serikali na TLS

    W anaoleta haya yote ni viongozi wa serikali wao wenyewe wana uchama kwa nn walitolea povu hivi kwa nguvu zote kana kwamba walikua wanakiendesha chama kupitia hao viongozi ambao walijionesha hawana chama kumbe sio , kwa lisu huo mkono hauta kuwepo utakatiwa chini na lisu endapo atapita tumuombee
  11. alfredj

    Polisi wamkamata Tundu Lissu(Mb) akiwa nyumbani kwake Dodoma. Apelekwa Dar, anyimwa Dhamana

    Kuna watu wanafanya kama nchi ni Mali yao pekee
Back
Top Bottom