Recent content by AlexProsper

  1. AlexProsper

    Unahitaji ushauri juu ya masuala ya ujenzi na gharama zake? Karibu tukuhudumie

    Habari mkuu nahitaji kujua garama za nyumba ya vyumba vitatu , 2 bathroom, kitchen na sebule urefu 16m upana 5.5m area 88sqm ni kiasi gani kwa makadilio
  2. AlexProsper

    Msaada wa kusoma kozi ya bodi ya ununuzi na ugavi(PSPTB)

    Wana level zile za chini nahitaji kufahamu basic certificate ya psptb unaipateje , na vigezo vyake ni vipi,
  3. AlexProsper

    Msaada wa kusoma kozi ya bodi ya ununuzi na ugavi(PSPTB)

    Habari za mda wakuu? Napenda kuuliza vigezo vipi vinatakiwa kujiunga na mitiani ya bodi ya ununuzi na ugavi kwa mtu mwenye elimu ya kidato cha nne ? Anaanza na hatua ipi? nawasilisha kwa msaada zaidi
  4. AlexProsper

    Mshikaji niliyeajiriwa naye pamoja amenipa hasira sana wakuu

    Kila mtu ana njia yake ya mafanikio
Back
Top Bottom