Habari mkuu nahitaji kujua garama za nyumba ya vyumba vitatu , 2 bathroom, kitchen na sebule urefu 16m upana 5.5m area 88sqm ni kiasi gani kwa makadilio
Habari za mda wakuu? Napenda kuuliza vigezo vipi vinatakiwa kujiunga na mitiani ya bodi ya ununuzi na ugavi kwa mtu mwenye elimu ya kidato cha nne ? Anaanza na hatua ipi? nawasilisha kwa msaada zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.