Unahitaji ushauri juu ya masuala ya ujenzi na gharama zake? Karibu tukuhudumie

Unahitaji ushauri juu ya masuala ya ujenzi na gharama zake? Karibu tukuhudumie

Attachments

  • COLOR-5.jpg
    COLOR-5.jpg
    817.1 KB · Views: 11
  • COLOR-6.jpg
    COLOR-6.jpg
    716.9 KB · Views: 12
  • COLOR-7.jpg
    COLOR-7.jpg
    710 KB · Views: 14
Mashimo hayo yasiyojaa yanakuwaje kwenye ujenzi garama na na nikweli hayajai unaweza ukapost hata picha yanavyokuwa
Gharama ya ujenzi hutegemea aina ya udongo wa eneo husika na vifaa vitakavyotumika. Kabla ya ujenzi, tunapenda pia kuangalia mazingira ya eneo ili kuhakikisha mfumo huu utafanya kazi vizuri na kudumu kwa muda mrefu.

Ni kweli hayajai, pia sijawahi pata changamoto kama hio.

Mfumo huu ukikamilika huwa huwezi kuona maana sehemu tunayotengeneza hufukiwa. Juu ya huo mfumo shughuli zingine zinaweza endelea.
 
Habari mkuu nahitaji kujua garama za nyumba ya vyumba vitatu , 2 bathroom, kitchen na sebule urefu 16m upana 5.5m area 88sqm ni kiasi gani kwa makadilio
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom