Mbona hajajifunika yale mashuka meupe ya msd...? Pale siasa zipo.....yule alikua na mafua tu....madaktari wazuri bongo walishakua brain-drained kitambo.......achilia mbali mausumbufu kwa wagonjwa wengne.....we unasachiwa mpaka kwenye "pichu".
Hapa tatizo ni uvivu wa kubuni vyanzo vya mapato.....wanawaza vimshahara tu....bado wanakuja....wanavitazama vimshahara vyetu.....macho kodo...hawatazami pembeni...wanakodoa kodo.....cku tutaenda home na buku tatu na mia mbili..........
Usasa mwingne una madhara...safisha nyumba...epuka v2 nyenye harufu mbaya.....large windows....allow hewa iingie na kutoka....hayo maarufu ya wadhungu hachana nayo.......cancer.....westerners dump them here. Stay natural dude.
C tushalala...hatuna hamu....tukiamka kama kawa.....unaweka NLD 2+....stake mke na hati ya nyumba........ajira zenyewe baba Jesca anasema zinatolewa "VERY CAREFUL".
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.