We waache waendelee kukomalia pointi za mezani wakati walifungwa na hiyo Kagera bila ubishi, na hata sasa wenzao upande wa pili wanajipanga kwa msimu ujao na kombe la CAF wao wanahangaika na mambo ya kitoto. Wakiendelea hivi mwakani tena wanakosa kombe na watazidi kumtafuta mchawi. Mpira...
Nahukia sana mtu anayeacha kujibu hoja na ku attack personalities. unapata wapi ujasiri wa kuwaita wenzio ni wa facebook na wewe ni wa great thinker wakati wewe ni kimeo zaidi! Usitudanganye wewe kuwa eti kuna watu wanatafuta suluhu hapa! hakuna kitu kama hicho. FIFA inasimamia sheria zake 17 na...
let us be honest! Maalim seif wa sasa hivi siye yule wa siku za nyuma. zamani alikuwa mtu mwenye nguvu na ushawishi mkubwa wa kisiasa, bara na zanzibar. Leo hii hata hajulikani anatafuta huruma kwa nani!, Seif amekuwa mtu wa kuhangaika hangaika mpaka basi tu!
Mi naona jamaa hawafahamu kunguni! Anawasikia tu! Kunguni hawafi ovyoovyo! Chukua blanketi lenye kunguni, loweka kwenye maji wiki nzima, ukifua, ukalikausha bado unao!! Hawatoki! Mpaka mayai yao yanajizalisha katika mazingira yoyote!
Niliwahi kusoma makala moja iliyotolewa na BBC inayosema " Jeshi la Uganda lapigana na kunguni" nikadhani in mzaha, lakini kunguni wanauwezo wa kuhamisha brigedi nzima ya Jeshi kwenda sehemu ingine vitani kwa kuhofia Usalama wao. Kunguni wananguvu kuliko AK47[emoji2] [emoji3] [emoji3] wanafanya...
Unasema Waarabu wafukuzwe wakati juzi tu Waziri Magembe amewarudishia kibali cha uwindaji Waarabu wa Greenmile ambao tulishuhudia wakiwafanyia ukatili Wanyama wetu katika filamu ilochukuliwa huko Selous! Nchii hii viongozi wetu wako kwa maslahi yao hawawezi kuwafukuza!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.