Kwa mwendo huu ninamhurumia Maalim Seif na CUF Zanzibar!

MsemajiUkweli

JF-Expert Member
Jul 5, 2012
13,171
23,975
Mzee Kikwete hupenda kusema, ‘’akili za kuambiwa, changanya na zako’’.

Maalim Seif na wapambe wake wa Zanzibar walikubali akili za kuambiwa lakini hawakuchanganya naza kwao.

Maalim Seif hakufahamu kuwa washauri wake wakubwa ni CCM B ambao hawakumtakia mema na kama alifahamu basi alitakiwa achukue ushauri wao na kuchanganya na akili zake.

Kama angechanganya na akili zake kwa sasa CUF isingekuwa katika hali iliyopo kwa sasa. CUF ya kabla ya Uchaguzi Mkuu 2015 sio hii ya leo ambayo inagawana vito kila siku.

Kwa sasa amezunguka dunia nzima akipiga kelele kuhusu kuibiwa kura huku akiwaaminisha wapambe wake yuko mbioni kuingia Ikulu ya Zanzibar kabla ya 2020 lakini ukweli unazidi kumsuta kila siku.

Baada ya kuzunguka dunia nzima kwa sasa amehamia mpaka kwa wachungaji kama Josephat Gwajima kama mentor wake. Hii ni dalili inayoonyesha desperation and kicking a dead horse. Maalim Seif amesahau kuwa kazi ya Gwajima ni kuombea wagonjwa na kutoa mapepo na sio masuala ya kisiasa.

This is an enormous leap for Maalim Seif, catapulting him to a new level of obscurity.

Kinachofanywa kwa sasa na UN, EU wakisaidiwa na Marekani kinatoa maandiko ukutani kuwaambia wale ambao wanadhani Maalim Seif ataingia Ikulu ya Zanzibar kabla ya Uchaguzi Mkuu 2020 wasipoteze muda wao.

Ieleweke kuwa fimbo ya kuichapia serikali ya Mapinduzi Zanzibar ilikuwa ni kuinyima misaada au kuweka shinikizo kubwa kwa serikali ya Tanzania. Kinachofanyika kwa sasa ni kinyume chake kwa maana nyingine, Wazungu wanamwambia Maalim Seif, Let bygones be bygones.

Ninatumaini Uchaguzi Mkuu ujao, Maalim Seif atachanganya na akili zake baada ya kura kuanza kuhesabiwa na matokeo kutangazwa.

Hii sio dalili nzuri kwa Maalim Seif na CUF Zanzibar.

Waingereza husema, ‘’Sometimes you’ll never know the value of what you have until it’s gone’’.

Nimalize kwa kusema, A Chinese military general, strategist and philosopher, Sun Tzu once said, If you know the enemy and know yourself, you need not fear the result of a hundred battles. If you know yourself but not the enemy, for every victory gained you will also suffer a defeat. If you know neither the enemy nor yourself, you will succumb in every battle.

USA Aid to Tanzania.jpg


18342385_1455256474549408_9011778045001320806_n-jpg.507363
 
Mzee Kikwete hupenda kusema, ‘’akili za kuambiwa, changanya na zako’’.

Maalim Seif na wapambe wake wa Zanzibar walikubali akili za kuambiwa lakini hawakuchanganya naza kwao.

Maalim Seif hakufahamu kuwa washauri wake wakubwa ni CCM B ambao hawakumtakia mema na kama alifahamu basi alitakiwa achukue ushauri wao na kuchanganya na akili zake.

Kama angechanganya na akili zake kwa sasa CUF isingekuwa katika hali iliyopo kwa sasa. CUF ya kabla ya Uchaguzi Mkuu 2015 sio hii ya leo ambayo inagawana vito kila siku.

Kwa sasa amezunguka dunia nzima akipiga kelele kuhusu kuibiwa kura huku akiwaaminisha wapambe wake yuko mbioni kuingia Ikulu ya Zanzibar kabla ya 2020 lakini ukweli unazidi kumsuta kila siku.

Baada ya kuzunguka dunia nzima kwa sasa amehamia mpaka kwa wachungaji kama Josephat Gwajima kama mentor wake. Hii ni dalili inayoonyesha desperation and kicking a dead horse.

This is an enormous leap for Maalim Seif, catapulting him to a new level of obscurity.

Kinachofanywa kwa sasa na UN, EU wakisaidiwa na Marekani kinatoa maandiko ukutani kuwaambia wale ambao wanadhani Maalim Seif ataingia Ikulu ya Zanzibar kabla ya Uchaguzi Mkuu 2020 wasipoteze muda wao.

Ieleweke kuwa fimbo ya kuichapia serikali ya Mapinduzi Zanzibar ilikuwa ni kuinyima misaada au kuweka shinikizo kubwa kwa serikali ya Tanzania. Kinachofanyika kwa sasa ni kinyume chake kwa maana nyingine, Wazungu wanamwambia Maalim Seif, Let bygones be bygones.

Ninatumaini Uchaguzi Mkuu ujao, Maalim Seif atachangaza na akili zake baada ya kura kuanza kuhesabiwa.

Hii sio dalili nzuri kwa Maalim Seif na CUF Zanzibar.

Waingereza husema, ‘’Sometimes you’ll never know the value of what you have until it’s gone’’.

Nimalize kwa kusema, A Chinese military general, strategist and philosopher, Sun Tzu once said, If you know the enemy and know yourself, you need not fear the result of a hundred battles. If you know yourself but not the enemy, for every victory gained you will also suffer a defeat. If you know neither the enemy nor yourself, you will succumb in every battle.

View attachment 512489

18342385_1455256474549408_9011778045001320806_n-jpg.507363
Wewe hujihurumii?
 
Mzee Kikwete hupenda kusema, ‘’akili za kuambiwa, changanya na zako’’.

Maalim Seif na wapambe wake wa Zanzibar walikubali akili za kuambiwa lakini hawakuchanganya naza kwao.

Maalim Seif hakufahamu kuwa washauri wake wakubwa ni CCM B ambao hawakumtakia mema na kama alifahamu basi alitakiwa achukue ushauri wao na kuchanganya na akili zake.

Kama angechanganya na akili zake kwa sasa CUF isingekuwa katika hali iliyopo kwa sasa. CUF ya kabla ya Uchaguzi Mkuu 2015 sio hii ya leo ambayo inagawana vito kila siku.

Kwa sasa amezunguka dunia nzima akipiga kelele kuhusu kuibiwa kura huku akiwaaminisha wapambe wake yuko mbioni kuingia Ikulu ya Zanzibar kabla ya 2020 lakini ukweli unazidi kumsuta kila siku.

Baada ya kuzunguka dunia nzima kwa sasa amehamia mpaka kwa wachungaji kama Josephat Gwajima kama mentor wake. Hii ni dalili inayoonyesha desperation and kicking a dead horse.

This is an enormous leap for Maalim Seif, catapulting him to a new level of obscurity.

Kinachofanywa kwa sasa na UN, EU wakisaidiwa na Marekani kinatoa maandiko ukutani kuwaambia wale ambao wanadhani Maalim Seif ataingia Ikulu ya Zanzibar kabla ya Uchaguzi Mkuu 2020 wasipoteze muda wao.

Ieleweke kuwa fimbo ya kuichapia serikali ya Mapinduzi Zanzibar ilikuwa ni kuinyima misaada au kuweka shinikizo kubwa kwa serikali ya Tanzania. Kinachofanyika kwa sasa ni kinyume chake kwa maana nyingine, Wazungu wanamwambia Maalim Seif, Let bygones be bygones.

Ninatumaini Uchaguzi Mkuu ujao, Maalim Seif atachangaza na akili zake baada ya kura kuanza kuhesabiwa.

Hii sio dalili nzuri kwa Maalim Seif na CUF Zanzibar.

Waingereza husema, ‘’Sometimes you’ll never know the value of what you have until it’s gone’’.

Nimalize kwa kusema, A Chinese military general, strategist and philosopher, Sun Tzu once said, If you know the enemy and know yourself, you need not fear the result of a hundred battles. If you know yourself but not the enemy, for every victory gained you will also suffer a defeat. If you know neither the enemy nor yourself, you will succumb in every battle.

View attachment 512489

18342385_1455256474549408_9011778045001320806_n-jpg.507363

Hoja ya Ki
d988ef4df693dc505f607fc10f22bb8a.jpg

Hii
 
Kwani wewe unajihurumia?
Wewe unaona udhaifu wa maalim Seif kushindwa kusema alama za nyakati, lakini huwezi kuona udhaifu wa CCM na serikali zake za kukataa kushindwa na kuisukuma nchi ktk malumbano yasiyo na faida ??!!

Bahati mbaya kwa wananchi wetu kuwataka wapinzani wawe malaika na kutojali ushetani wa viongozi wetu wa serikali !!!
 
Wewe unaona udhaifu wa maalim Seif kushindwa kusema alama za nyakati, lakini huwezi kuona udhaifu wa CCM na serikali zake za kukataa kushindwa na kuisukuma nchi ktk malumbano yasiyo na faida ??!!

Bahati mbaya kwa wananchi wetu kuwataka wapinzani wawe malaika na kutojali ushetani wa viongozi wetu wa serikali !!!
Hoja sio udhaifu wa CCM na serikali yake, hoja ni Maalim Seif kuendelea kuwadanganya wapambe wake kuwa ataingia Ikulu ya Zanzibar kabla ya 2020.

Wazungu wameanza kumpa majibu kwa maandishi kwa sababu picha waliyompa hakuielewa vizuri.
 
Dhambi ya kumsaliti Mzee Jumbe 1984 haitomuacha!

let us be honest! Maalim seif wa sasa hivi siye yule wa siku za nyuma. zamani alikuwa mtu mwenye nguvu na ushawishi mkubwa wa kisiasa, bara na zanzibar. Leo hii hata hajulikani anatafuta huruma kwa nani!, Seif amekuwa mtu wa kuhangaika hangaika mpaka basi tu!
 
Hoja sio udhaifu wa CCM na serikali yake, hoja ni Maalim Seif kuendelea kuwadanganya wapambe wake kuwa ataingia Ikulu ya Zanzibar kabla ya 2020.

Wazungu wameanza kumpa majibu kwa maandishi kwa sababu picha waliyompa hakuielewa vizuri.
Unataka kusema hela za ukimwi mtajengea barabara kama mnavyofa kwenye rambirambi ?

Mbona hujataja hela za MCC ?
 
Back
Top Bottom