Recent content by Alex ex-saviery

  1. Alex ex-saviery

    Ali Kiba Fans' Special Thread...

    Kiba 4real pop it in....the gentle mean ndo kiboko yao
  2. Alex ex-saviery

    Saluni ya kike inakodishwa ipo Magomeni

    Ni saluni iliyokamilika ina vifaa vyote kama dryer,tonic machine,pasi za nywele,madawa,viti, tv,vioo,kiti cha kuoshea nywele nk.Ipo barabarani maeneo ya magomeni ipo karibu na Kanisa la Magomeni kwenye stendi mpya ya magari mwendo kasi. Marejesho hufanyika kwa wiki,na wiki ya kwanza hautafanya...
  3. Alex ex-saviery

    Nauza kiwanja kingine tsh.mil 17

    Ofa ofa kiwanja nauza kipo maeneo ya mtoni kijichi dar es salaam kwa bei ya tsh.milioni kumi na saba (17,000,000) kina ukubwa wa mita 25 kwa 25 kiwanja ni flati na kina ukuta mmoja na kimezungushiwa foundation ya zege..wahi sasa nipigie 0717342771 kwa maelewano.
  4. Alex ex-saviery

    Kwa wanaojua lilipo soko la mbaazi na choroko

    Pia kuna kampuni moja inaitwa east cost ipo kurasini karib na baharini..imepakana na zamkago(mofed kwa sasa) wananunua ufuta,choroko,mbaazi,etc
  5. Alex ex-saviery

    Ninauza fridge ninashida na tsh.90,000 tu

    Fridge ni la mtumba tatizo lake ni gesi imepungua lakin linafanya kazi.... Simu 0717342771
  6. Alex ex-saviery

    NAUZA FRIGDE ninashida na SH.90,000 tu

    Ni la mtumba na tatizo lake ni limepungua gesi..nipo mbagara kijichi dar es alaam picha hizo hapo simu 0717342771 pia nina viwanja viwili nauza.
  7. Alex ex-saviery

    Kiwanja kinauzwa mtoni kijichi

    Habari zenu wakuu kiwanja kinauzwa cha ukubwa wa mita 25 kwa 25,kiwanja kipo flati na kimezungushiwa nusu ukuta kipo mtoni kijichi(daresalaam) kama unaelekea mbagara kuu bei ni nafuu..kwa alie tayari tuwasiliane 0717342771
  8. Alex ex-saviery

    Gari toyota mark ii inauzwa.

    pisha ndo hizo
  9. Alex ex-saviery

    Pikipiki Cruiser mbili zinauzwa bei poa

    Nina pikipiki mbili aina ya cluser zinatembea na zina insurance..engine capacity ni 150 bei ni milioni moja na laki tatu na nusu..... Kwa mteja alie serious bei inaweza kushuka kdogo piga 0717342771 kwa maelezo zaidi...nipo dar.
  10. Alex ex-saviery

    Gari toyota mark ii inauzwa.

    Najarib kueka pcha inagoma ila naweza nkatuma whatsapp kma uko interested
  11. Alex ex-saviery

    Gari toyota mark ii inauzwa.

    Toyota mark II bado nzima na inatembea unaweza ukaletewa hapo ulipo kwa bei ya tsh.mil 5.5 (milioni tano na laki tano) kwa maelezo zaidi 0717342771.
  12. Alex ex-saviery

    Piki piki 3 zipo sokon kwa bei nafuu

    i dnt knw how to apload....if u ar siliazly interested call me au gv me ur facebook id then ntakutumia.
  13. Alex ex-saviery

    Piki piki 3 zipo sokon kwa bei nafuu

    engine cc 150,imetengenezwa mwka 2010,insurance imekatwa mwez wa 6 mwaka huu..inaisha mwez wa 6 mwaka 2014.
  14. Alex ex-saviery

    Piki piki 3 zipo sokon kwa bei nafuu

    engine capacity ni 150,,nauza ili nipate pesa.
Back
Top Bottom