Ni saluni iliyokamilika ina vifaa vyote kama dryer,tonic machine,pasi za nywele,madawa,viti, tv,vioo,kiti cha kuoshea nywele nk.Ipo barabarani maeneo ya magomeni ipo karibu na Kanisa la Magomeni kwenye stendi mpya ya magari mwendo kasi.
Marejesho hufanyika kwa wiki,na wiki ya kwanza hautafanya...
Ofa ofa kiwanja nauza kipo maeneo ya mtoni kijichi dar es salaam kwa bei ya tsh.milioni kumi na saba (17,000,000) kina ukubwa wa mita 25 kwa 25 kiwanja ni flati na kina ukuta mmoja na kimezungushiwa foundation ya zege..wahi sasa nipigie 0717342771 kwa maelewano.
Habari zenu wakuu
kiwanja kinauzwa cha ukubwa wa mita 25 kwa 25,kiwanja kipo flati na kimezungushiwa nusu ukuta kipo mtoni kijichi(daresalaam) kama unaelekea mbagara kuu
bei ni nafuu..kwa alie tayari tuwasiliane 0717342771
Nina pikipiki mbili aina ya cluser zinatembea na zina insurance..engine capacity ni 150
bei ni milioni moja na laki tatu na nusu.....
Kwa mteja alie serious bei inaweza kushuka kdogo
piga 0717342771 kwa maelezo zaidi...nipo dar.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.