NAUZA FRIGDE ninashida na SH.90,000 tu

NAUZA FRIGDE ninashida na SH.90,000 tu

Joined
Aug 9, 2013
Posts
23
Reaction score
5
Ni la mtumba na tatizo lake ni limepungua gesi..nipo mbagara kijichi dar es alaam picha hizo hapo
simu 0717342771
pia nina viwanja viwili nauza.
 
Viwanjavikowapi??visiwe Maliya escrow tu
 
Angelo UK Iona kimya ujue lishanunuliwa

Ujaonakwenye vituo tangazo ukiona limechanwa kwenyevituo vyabasi
ujue lishasomwa
 
Vp mbona picha hatuoni?????? hebu weka pic bwana@Alex ex-saviery
 
Back
Top Bottom