Recent content by Alen K

  1. Alen K

    JamiiForums Tanzania Mnyika: Rais Magufuli amekwama

    Kilo ya sukari sh. 3800, unga sh. 2400 biashara zimekufa, ajira hakuna, halafu mnaleta ujinga wa kusifia tu!
  2. Alen K

    JamiiForums Tanzania IGP: Tunawasaka watu wanaofurahia na kukebehi mitandaoni baada ya askari kuuawa

    Kwani hao wanaofurahi ndio wauaji? Police +siasa =ccm!
  3. Alen K

    JamiiForums Tanzania Ni kweli bilioni 10 zimejenga flat 20? Au tuna woga kuhoji gharama halisi?

    Angalia flat za magomeni zitagarimu sh.30. Bilion!
  4. Alen K

    JamiiForums Tanzania Wahariri leo mmeonyesha uzalendo wa hali ya juu sana

    Safiiii......
  5. Alen K

    JamiiForums Tanzania Kwanini Ali Kiba hataki bifu lake na Diamond liishe?

    Ally kiba ana roho mbaya, anajisikia mmmnoo....!!!
  6. Alen K

    JamiiForums Tanzania Mkapa: Uongozi bora ni kuwa msikilizaji, mvumilivu na kupenda kusoma mambo ya ndani na nje ya nchi.

    Hawa nao wanatuyeyusha tu sasa wameshindwa kumyoosha huyu tulienaye? Kwenye magongamono kama watu vile lakini kwenye vikao vyao vya ccm lao moja!
  7. Alen K

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: CCM na uwongo wao wa gesi kupunguza bei ya umeme CAG kawaanika na kawashauri

    Deni la taifa kufika 82 trillion 2020! Kama speed hii ya kukopa itaendelea!
  8. Alen K

    JamiiForums Tanzania Sokoine bado hajazingatiwa ipasavyo na viongozi wa sasa

    Sokoine alikuwa ni kiongozi shupavu na hakuna wa kumlinganisha naye, nakumbuka kabla ya kupanda gari kwenda dodoma na wakati anarudi ndipo alipo Pata ajali yenye utata, alimwambia rashidi kawawa rudisha pesa za wananchi au nenda radio Tanzania ukawaambie watanzania hizo pesa umepeleka wapi? Na...
  9. Alen K

    JamiiForums Tanzania Hongera TISS kwa kazi nzuri ya kulinda na kudumisha amani ya Nchi yetu

    Hongera TISS kwa kulinda maslahi ya ccm.
  10. Alen K

    JamiiForums Tanzania Serikali yamwaga vitanda vya wagonjwa nchi nzima

    Miaka 55 ya uhuru tunashangilia vitanda?
  11. Alen K

    JamiiForums Tanzania Ali Kessy: Roma Mkatoliki anamtukana Rais halafu anaachiwa? Utawala gani huu?

    Roma hana Wimbo huo! Huyu dingi kujichanganya tu!
  12. Alen K

    JamiiForums Tanzania Utata: Uvamizi wa clouds FM

    Hakuna utata naona wewe ni kilaza wa kuelewa au unataka kupotosha tu!
  13. Alen K

    JamiiForums Tanzania Naamini sasa Magaidi hutengenezwa na Serikali kote duniani kwa utawala usio haki na kandamizi

    Kwa kipindi hiki kuna wanaenufaika na hali ilivyo wengine twaumia, sisi ndio wakutafuta pori.
  14. Alen K

    JamiiForums Tanzania SABC NEWS: Magufuli kutoka Rais apendwaye mpaka kuwa dikteta!

    Kawaida ya viongozi wetu hasa Africa wakisifiwa!
  15. Alen K

    JamiiForums Tanzania Yajue Maajabu ya Kunywa glass ya Maji ya Uvuguvugu Asubuhi.

    Mimi na miaka 2 na hii kitu kweli ni nzuri sana!
Back
Top Bottom