Recent content by Alemechs

  1. Alemechs

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Anhaa sasa mister ww unanufaika vipi au maslah kwa upande wako unakuaje baada ya mtu akishajiunga kama hvyo naomba hapo msaada
  2. Alemechs

    Business ideas (Bure)

    Kweli hapa kwenye packaging hapa kunachangamoto kubwa sana
  3. Alemechs

    Msaada wa sehemu za kupata kazi(experience)

    Shukrani sana ntafanya hvyo mkuu
  4. Alemechs

    Msaada wa sehemu za kupata kazi(experience)

    Nashukuru kiongozi vyote vitakavyoletwa hapa ntavifanyia kazi asante sana
  5. Alemechs

    Msaada wa sehemu za kupata kazi(experience)

    Wakuu ni matumaini yangu mnaendelea vizuri, naomba kuulizia sehemu ambazo mtu aliyemalizia masomo yake kwenye taaluma ya mechanical engineering anaweza kwenda na kupata experiences itakuwa poa sana nikifaham majina ya hizo sehemu pamoja na mkoa husika yaan mkoa wowote ule, iwe kiwandani...
  6. Alemechs

    Sehemu za kufanyia kazi kwa ajili ya experience(internship)

    Wakuu ni matumaini yangu mnaendelea vizuri, naomba kuulizia sehemu ambazo mtu aliyemalizia masomo yake kwenye taaluma ya mechanical engineering anaweza kwenda na kupata experiences itakuwa poa sana nikifaham majina ya hizo sehemu pamoja na mkoa husika yaan mkoa wowote ule, iwe kiwandani au hata...
  7. Alemechs

    Sehemu ya kupata experience ya kazi (internship)

    Wakuu ni matumaini yangu mnaendelea vizuri. Naomba kuulizia sehemu ambazo mtu aliyemalizia masomo yake kwenye taaluma ya mechanical engineering anaweza kwenda na kupata experiences itakuwa poa sana nikifaham majina ya hizo sehemu pamoja na mkoa husika yaan mkoa wowote ule, iwe kiwandani au hata...
  8. Alemechs

    Msaada wa fabrication

    Shukrani kiongozi ntafanyia kazi hili swala
  9. Alemechs

    Msaada wa fabrication

    Wakuu za habarini za sahizi, naishi mkoani mbeya, nilikuwa na naomba msaada niweze kupata sehemu wanapofanyia fabrication ya vifaa mbali mbali vinavyohitaji plastic molding na kuhusisha mfumo mzima wa electronics wenye sensors an microcontrollers, so naombeni msaada wa mahala wanapofanyia hzo...
Back
Top Bottom