Hiyo ya denda la dk 5,, ni uboya na kinaonyesha akili ndogo, nidham mbovu, na ukosefu was staha walionao maharus,,, hayo huwa ni ya faragha na c publicity
Aisee acha mchezo kabisa ukikosea kuoa maisha yatakua ya mateso na mawazo tasiyoisha hata kama na pesa kias gan,,, Kamuulize Reginald mengi atakusimiulia
Niko kwenye situation kama yako umri wangu mm pia ni kama wako. Mwanamke niliyenaye mm naweza sema ana kila sifa ya mke mwema, tatizo likawa kama lako No feelings at all,,ilinisumbua sana akili nikajipa mda wa kufikiria wakat huo namtafutia sababu za kumwacha lkn wapp sikupata sababu yy ndo...
Habar wana jf,, jumapili moja dec 2018 Nimetoka home jion naelekea kumuona mpenz wangu nikiwa na usafir wangu pkpk XLR bas nikiwa njian nyuma kulikua na gari aina ya Subaru, njia niyokua napita ni lami iyoelekea arusha national park (momela) kwa wenyeji wa arusha watafaham bas ile Subaru ikawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.