Recent content by Albetro

  1. A

    Jinsi nilivyonusurika kufumaniwa na mwenye Mali/Mke

    Aisee ulipata adhabu ya kukaa ndan masaa 24,. Yan Kama vile ulikua lokapu
  2. A

    Ushauri wenu juu ya siri hii inayonitesa kwa muda mrefu

    Mnashindwa nn kunyamaza kimnya mpaka mzeeke,,,mleeni mtoto wenu ktk njia ipasayo ,,,,hata mkisema ,,,,familia haitawasaidia chochote zaid ya kuwasema vibaya,, mtakua ndo bango ukoo mzima utazungumza,, subirin mkikaribia kuzeeka ndo mtoboe ,,,
  3. A

    Ninakuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanaume wa watu tu

    Hii story hamna kitu hapo,, umeamua kuburudisha watu tu,,, et nikabongonyolewa
  4. A

    Ninakuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanaume wa watu tu

    Hii story hamna kitu hapo,, umeamua kuburudisha watu tu,,, et nikabongonyolewa
  5. A

    Nimetembea na mwanamke bila kinga nahisi ni Mwathirika

    Acha uoga mkuu sio rahisi kihivyo,,,
  6. A

    Umeshawahi kutapeliwa?

    Mkuu hapo ulitapeliwa kimasihara,,
  7. A

    Hii harusi imenishangaza sana

    Hiyo ya denda la dk 5,, ni uboya na kinaonyesha akili ndogo, nidham mbovu, na ukosefu was staha walionao maharus,,, hayo huwa ni ya faragha na c publicity
  8. A

    Imenishangaza: Dunia ya leo bado kuna wanaume wanapigana mpaka kuuana kisa mwanamke?

    Vijana wanatanguliza moyo mbele badala ya akili,,, ukitanguliza akili huwez pigania mwanamke hata Kama angekua ni mrembo kias gan
  9. A

    Mke wa kaka hataki kunifulia

    wewe ni hewa kweli
  10. A

    Kuna tofauti gani kati ya kukosea kuoa/kuolewa na changamoto za kawaida katika ndoa?

    Aisee acha mchezo kabisa ukikosea kuoa maisha yatakua ya mateso na mawazo tasiyoisha hata kama na pesa kias gan,,, Kamuulize Reginald mengi atakusimiulia
  11. A

    Kila nikilala na mwanamke yeyote huwa wananing'ang'ania

    Ujinga mtupu,,,utoto unakusumbua kwanza nan alikununulia hiyo smartphone
  12. A

    ''Nipo kwenye dilemma ..ushauri please''

    Niko kwenye situation kama yako umri wangu mm pia ni kama wako. Mwanamke niliyenaye mm naweza sema ana kila sifa ya mke mwema, tatizo likawa kama lako No feelings at all,,ilinisumbua sana akili nikajipa mda wa kufikiria wakat huo namtafutia sababu za kumwacha lkn wapp sikupata sababu yy ndo...
  13. A

    Soma mkasa huu ulionikuta

    Mmi sio mwizi ,,,,mbwa mwenyewe n mamaako
  14. A

    Soma mkasa huu ulionikuta

    Habar wana jf,, jumapili moja dec 2018 Nimetoka home jion naelekea kumuona mpenz wangu nikiwa na usafir wangu pkpk XLR bas nikiwa njian nyuma kulikua na gari aina ya Subaru, njia niyokua napita ni lami iyoelekea arusha national park (momela) kwa wenyeji wa arusha watafaham bas ile Subaru ikawa...
Back
Top Bottom