Operation Tokomeza kidato cha pili sasa hakuna, hii inaitwa vunja moyo walimu, BRN ni ulaya tu ndo wanaweza sisi hakuna kitu, nimeshindwa kushangaa, ndugu watanzania tunakwenda wapi na nchi hii? My God! Walimu popote mlipo nawapa pole sana, hii ndio serikali ya Tanzania. Eti waliofeli...
CCM waache uzushi, inatakiwa wawe wanamsimamo mmoja,inawezekana wanaogopa uchaguzi ukiitishwa wanaweza kupoteza viti vyote kama yaliotokea huko arusha.
Nikweli kabisa wakazi wa nsenda wilayani urambo mpaka dakika hii wananchi wanayakimbia makazi yao, nawapa pole sana kwa familia iliyopoteza watu wao kwa kwa hao majambazi. Mi namshauri diwani wa kata hiyo achukue hatua ya haraka akishirikisha viongozi wa wilaya na polisi ili kuwasaka hao...
Tanzania ni nchi ya amani,jamani hayo mambo yakumwagiana tindikali yanatoka wapi tena,ivi kuna mwananhi asiyejua kuwa Tanzania ni kisiwa cha amani? Tafakari!
Huu mpango wa BIG RESULT NOW (BRN) inaonekana upo katika wizara zote,mimi nijikite katika wizara ya elimu,mpango huu utafanikiwa endapo serikali itashirikisha jamii nzima wakiwemo wanasiasa lakini serikali pia ishughulikie kilio cha walimu. Vilevile wa darasa la saba wanaojiunga na kidato cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.