Michelle obama apata adhabu airport

Michelle obama apata adhabu airport

Status
Not open for further replies.
Kujifunika mavitenge ndio kujuwa kuvaa?

Kila mtu ana utamaduni wake, alivyovaa Michelle ndio utamaduni wa Kimarekani, msitake kulazimisha kila mtu aishi kama nyinyi.

Huyo Salma kama anajuwa sana maadili amuige Hawa Ghasia ndivyo Mwanamke wa Kiislamu anavyopaswa kujisitiri, nywele zake asubili akiwa na Mkwele chumbani ndio amuoneshe.
Hawa Ghasia anavaa kiarabu
 
Huyo michelle hamjui JK nini mzee wa totoz!
Obama amlinde laa sivyo......
 
weka picha. mia

1_bf2ba.jpg

2_6e533.jpg


3_0ba29.jpg
 
Kujifunika mavitenge ndio kujuwa kuvaa?

Kila mtu ana utamaduni wake, alivyovaa Michelle ndio utamaduni wa Kimarekani,
Basi si angetulia tu, kwanini alikuwa anahangaika kujisitiri?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom