Recent content by al1

  1. al1

    JamiiForums Tanzania Sijui kwa nini ila lucas mwashambwa akikaa kimya , ID ya haszu nayo inapotea🤨

    😹😹 hapa ndo naanza kuelewa kwanini lucky dube aliimba one people different color.
  2. al1

    JamiiForums Tanzania Unaita mashahidi ambao unajua fika watakukandamiza. amakweli Lisu kachanganyikiwa.

    Sawa mkuu, kwahyo unamshauri nn lissu?
  3. al1

    JamiiForums Tanzania Unaita mashahidi ambao unajua fika watakukandamiza. amakweli Lisu kachanganyikiwa.

    Mkuu school of law ulipiga mwaka gani?
  4. al1

    JamiiForums Tanzania Vijana waliochoka kukaa mjini na wanatamani kurudi vijijini, nyoosheni mikono juu

    Mkuu hao waliopigika mjini bila kufukuzwa kama wale wa kule Kwa madiba hawawezi kutii bila shuruti.
  5. al1

    JamiiForums Tanzania Hakuna cha ajabu Samia kupigiwa magoti na wanaume.

    Kaole.
  6. al1

    JamiiForums Tanzania Kushindwa kula vyakula vya kigeni nje ya nchi

    Sasa ukiwa Uganda una tofauti gani na alieko Kagera?
  7. al1

    JamiiForums Tanzania Kwa Nini Ukristo Hauna Mfumo wa Social Guidance Kama Uislamu na Uyahudi?”

    Kwani mkuu umesoma biblia mwanzo hadi ufunuo? Kila kitu kipo humo.
  8. al1

    JamiiForums Tanzania KERO Askari Polisi wengi hatupati posho ya pango

    Wamuulize katambi.
  9. al1

    JamiiForums Tanzania Hii ya leo kali sana sana

    Yani Kuna askari ambao ukiwaangalia unajua hata wakiwa 6 nawapiga😀
  10. al1

    JamiiForums Tanzania Mbingu ya Waislamu inatamanisha na kusisimua kuliko ya Wakristo.

    😹😹 Mkuu ukishapanda mnazi kimoja utaonyeshwa pa kulala ukajikunje kama korosho sisi tukipiga paipu mpaka asubuhi 🙌🏿🙌🏿
  11. al1

    JamiiForums Tanzania Nitumie mbinu gani kumhalalisha kuwa mke mdogo?

    amefanana na huyo wa pichani, Sasa mkuu weka picha yake tumlinganishe nae 😹😹
  12. al1

    JamiiForums Tanzania Nimepewa unabii: Kutakuwa na vifo vya wanafamilia wa Utawala huu

    Acha utapeli Poti.
  13. al1

    JamiiForums Tanzania Nitumie mbinu gani kumhalalisha kuwa mke mdogo?

    Jinsi ulivomaliza mwishoni Sasa🙌🏿🙌🏿🙌🏿
  14. al1

    JamiiForums Tanzania Mwigulu hata angevaa ramani ya Tanzania hamshawishi mtu kuwa rais Tanzania

    Kaole.
  15. al1

    JamiiForums Tanzania Pita Msechu ameshatoa wimbo kufuatia kifo Cha Mume wa Rais?

    Mkuu studio kufanya nini akati mwendazake yupo 6ft na 5tones juu yake?
Back
Top Bottom