Recent content by al1

  1. al1

    JamiiForums Tanzania Tanzania yashuka nafasi 22 kwenye Viwango vya Uhuru wa Habari Duniani. Hali ni mbaya!

    Kuna yule mwenye kitengo cha kukanusha atakuja kusema kwavile tumekataa ndoa za jinsia Moja, shame on them 🗑️
  2. al1

    JamiiForums Tanzania Usimkatie tamaa mtu..! Zikiisha akili humrudi.. Hiari yashinda utumwa!

    devil anapoanza kuongea ukweli usimzingatie ova.
  3. al1

    JamiiForums Tanzania Ningependa mchana huu chakula hiki anipikie Seran

    Mkuu mpaka Sasa naanza kuamini kwamba umeshajichukulia Sheria mkononi Kwa mtu usie mjua.
  4. al1

    JamiiForums Tanzania Kitambi ni ugonjwa na vilevile ni ishara ya uzembe. Wanaume wenzangu tujitahidi kupiga mazoezi

    Mkuu watakuja wengine kusema eti ooohh wengine tuna unane wa asili🤔 mwanaume kuwa na kitambi ni fezea sana.
  5. al1

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi wa magari, nichukue gari gani kati ya Toyota IST, Rush, Ractis, Raum au Spacio?

    mkuu kwani hujui kuchukua raum, by the way Sina gari.
  6. al1

    JamiiForums Tanzania Kwa hiyo Chama akipewa uraia ndio Taifa Stars itafanya vizuri? Hii CCM imekosa maono. Hawafikirii kuboresha maisha ya Walimu wanafikiria porojo

    Wakati mwingine acha tu wateseke maana wanatumika kipindi cha uchaguzi baada ya hapo wanasahaulika, hawana tofauti na wale wanaochomekea Kombat.
  7. al1

    JamiiForums Tanzania KERO Mchango wa Lazima wa Mwenge ni kero

    Hii kitu inafaa walimu tu ndo wakatwe.
  8. al1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ili dunia iwe sawa, lazima mwanamke ajishushe, awe mama wa nyumbani na aletewe kila kitu

    Ni ivo tu mkuu, maana hata wakienda kutafuta hela zao hazina majukumu yeyote kwenye familia.
  9. al1

    JamiiForums Tanzania Lema: Lissu yuko tayari kufia jela wala msihangaike na Maridhiano feki

    Hii kauli inawaumiza sana wahafidhina.
  10. al1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimechoka kukimbizana na wanawake, ni process inayokula nishati na mentallity yangu, nifanyeje kuikamilisha hatua hii ?

    Mkuu njoo Kwa Yesu hakuna kinacho shindikana.
  11. al1

    JamiiForums Tanzania CHADEMA yatikisa Arusha Mjini

    Matumaini ya watanganyika imebakia Kwa chadema. Ila kuwaangusha wahafidhina Mungu aingilie kati tu.
  12. al1

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Tanzania yadaiwa kuwazuia Wabunge wa Ulaya (EU) Kufanya Ziara Nchini

    Chonde chonde chonde waheshimiwa wabunge wa bunge la ulaya msiweke kikwazo chochote cha kiuchumi kwani sisi wananchi ndo tutaumia, twawaomba mfanye kama Donald yohana trump alivofanya kule Venezuela ushirikiano mtapata ova.
  13. al1

    JamiiForums Tanzania Unajenga nyumba ya milion 300 ili upangishe laki 3, ni akili au matope?

    Mkuu hiyo nyumba ya mil 300 inayopangishwa Kwa laki 3, Bora angetoa Kwa mpangaji akae bure tu, by the way siungi mkono investment ya ivo.
Back
Top Bottom