asigwa[emoji3] mimi kiswahili najua na nakifahamu vizuri kwani nimezaliwa uswahilini na nimezaliwa na waswahili sijawahi Rashid kuita Lashidi japokua baraza la kiswahili lipo kwenu lakini waswahili ni sisi na tutabaki kua sisi
Kwakweli hakuna asiijue pemba kua nikisiwa cha pekee chanye watu aina ya pekee kisiwa hichi ni maarufu sana tokea dakhar na dakhar kilianza kutambulika tokea zama za nabii Suleiman hadi Muhhamaad (s.a.w )watu wake ni wastaarabu na waloijua dini tokea zamaa hizo walijifahamu ni nani na wanaelekea...
Zama zimepita wengi wetu hatufaham kua pemba ilikua na pesa yake ambayo ikiitwa Pemba rupes ambayo ilikua na nembo ya karafuu mbili na ilitumika kuanzia 1940 chini ya utawala wa sultan Sayyed wakati huo zanzibar ikijulikana kwa jina is dola ya Zanzibar
Hatuja ona vibaya km wazanzibar kwani anacho kisema Ali kesi ndio uhalisia ulivo bali alikuakua anatutanabahisha wazanzibar tusojielewa tujifaham kua nafasi yetu ni ipi katika muungano huu
Wewe hujua hata unachokisema historia yako ya unguja ukuu hiyo hata huyo sultan alianzia Pemba kupambana na Mreno ndio akafika unguja ila tukukumbushe wapemba hawakuzoe kutawaliwa ndio maana sultan hakukaa Pemba
Sheikh Ahmed amlilia nyerere kutukwanwa ila hatujapata kusikia kalia kwa kutukwanwa Mtume Muhammad (s.a.w)ivi huu ni uchamungu unafik ama posho ya laki tatu ivi Huyu ni kadhwi au kazi Wa kuvunja ndoa za watu tuweni makini Hawa yasije kutufika Yale ya wafuasi Wa Nabii Mussa walio Abudu ngombe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.