UZI HUU UMENIKUMBUSHA MIAKA MIWILI ILIYOPITA DAAAAAAAH:
Mikopo Mikopo Mikopoooooo.
Mikopo ni moja ya janga kubwa kwa watumishi wa serikali walio wengi, hasa Wanajeshi/Askali police/Walimu n.k
Mfanyakazi mwenzangu alikua na demu wake mtamu kiac chake walikua wanaishi pamoja Kama mtu na demu...
Nimesoma Makala yako mwanzo mpaka mwisho, nimeweza kuelewa ulichokielezea kuhusu wahudumu wa bar.
Kwa ushauri tu kile kichwa chako Cha habari nadhani hakiendani kwa % kubwa na maudhui uliyoyasema.
Mf ishu Kama kupigwa, kuambukizwa magonjwa, kurogwa, utu wao kudhalilishwa n.k hvyo huwezi kuviita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.