Tumia hicho kipato chako cha laki 5 kujenga. Achana na mkopo wa Bank utajutaaaaa.Habari,ninahitaji kujenga nyumba simple mshahara wangu laki 5 jee nikisema nijilipue NMB au CRDB nivute mkopo wa million 9 nitakuwa nakatwa shillings ngapi? msaada please
Vipi mkuu unashangaa jamaa anavyosotea laki tano mwezi mzima? Kwa watz wengi hiyo ni nyingi sanaDuh laki 5.
Mbona hili jukwaa mnalikosea heshima?Habari,ninahitaji kujenga nyumba simple mshahara wangu laki 5 je nikisema nijilipue NMB au CRDB nivute mkopo wa million 9 nitakuwa nakatwa shillings ngapi? msaada please
Kwa mda gani utataka ukatwe?Habari,ninahitaji kujenga nyumba simple mshahara wangu laki 5 je nikisema nijilipue NMB au CRDB nivute mkopo wa million 9 nitakuwa nakatwa shillings ngapi? msaada please
Shukrani dada ubarikiwe kwa haya mawazoKama vile mkopo mkubwa sana ukilinganisha na pay yako.
Japo waweza katwa miaka 3 lakini makato yatakuwa si chini ya shilingi laki tatu monthly.
Kopa mil.5 usimamishe pagala kwanza. Kuezeka uje kukopa tena.
Ukubwa wa makato yako utategemeana na muda wako wa mkopo ( uHabari,ninahitaji kujenga nyumba simple mshahara wangu laki 5 je nikisema nijilipue NMB au CRDB nivute mkopo wa million 9 nitakuwa nakatwa shillings ngapi? msaada please
ShukraniUkubwa wa makato yako utategemeana na muda wako wa mkopo ( u
Uhai wa mkopo ).
Ukikopa miaka mingi, utakatwa pesa kidogo ila deni utalilipa kwa muda mrefu sana na jumla ya pesa utakayorejesha itakuwa KUBWA.
Na vice versa is true.
KumbeeKopa tu dogo, kama uko serikalini unaweza kurejesha kwa miaka mi-5 Tenaaaa! Makato yatakuwa kama 333,000 kwa mwezi utabakiwa na kama 170,000 kwa mwezi (ila kama hiyo laki 5 ni take home). Deni hilo utarejesha kwa miezi 60 na utawapa benki zaidi ya 6 m kama interest! Kazi kweli kweli!!
Kopa nmb muda miez 84 ..... Utabaki kama na 300, 000+ take homeKumbee