Kampuni za simu nazitaja kwa majina Voda, Tigo, Airtel na wengine mna tatizo la mtandao maeneo ya kariakoo kipande cha barabara ya uhuru mpaka mtaa wa mafia ukizunguka huku mpaka barabara ya msimbazi..
Hoja yangu ni kwamba, wafanyabiashara wengi wanategemea simu,na hasa ss hvi biashara...
Ikiwa tuna Hospitali za mikoa na rufaa na magari ya hospital yapo kwanini Polisi wabebe maiti?
Utakuta kuna matukio mengi tu yanatokea ikiwa mauaji, ajali au maiti zilizotelekezwa njiani na majumbani kwanza wataitwa Polisi. Kwanini Polisi nao wasi link na hospital waje pamoja?
Sababu:
Polisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.