Tatizo la mtandao Kariakoo

Akilimali22

Senior Member
Jun 7, 2015
167
90
Kampuni za simu nazitaja kwa majina Voda, Tigo, Airtel na wengine mna tatizo la mtandao maeneo ya kariakoo kipande cha barabara ya uhuru mpaka mtaa wa mafia ukizunguka huku mpaka barabara ya msimbazi..

Hoja yangu ni kwamba, wafanyabiashara wengi wanategemea simu,na hasa ss hvi biashara mtandaoni.Imekua ngumu kupata mawasiliano ukiwa kwenye majengo ya maeneo haya, inalazimu mtu aache duka lake atoke nnje ili awasiliane na mteja au mawasiliano mengine ya kawaida, inawalazimu watu sasa hv kufunga WIFI je nyie kampuni nilizotaja hapo juu hamjaliona hili?

Boresheni huduma zenu maeneo haya .hali ni mbaya ya mawasiliano tukiwa ndani ya majengo ya kariakoo hasa haya ya biashara.
 

Mhandisi Mzalendo

JF-Expert Member
Aug 23, 2010
5,614
8,363
Kampuni za simu nazitaja kwa majina Voda, Tigo, Airtel na wengine mna tatizo la mtandao maeneo ya kariakoo kipande cha barabara ya uhuru mpaka mtaa wa mafia ukizunguka huku mpaka barabara ya msimbazi..

Hoja yangu ni kwamba, wafanyabiashara wengi wanategemea simu,na hasa ss hvi biashara mtandaoni.Imekua ngumu kupata mawasiliano ukiwa kwenye majengo ya maeneo haya, inalazimu mtu aache duka lake atoke nnje ili awasiliane na mteja au mawasiliano mengine ya kawaida, inawalazimu watu sasa hv kufunga WIFI je nyie kampuni nilizotaja hapo juu hamjaliona hili?

Boresheni huduma zenu maeneo haya .hali ni mbaya ya mawasiliano tukiwa ndani ya majengo ya kariakoo hasa haya ya biashara.
Mawasiliano yanakua hafifu kutokana na kuta nene za majengo mengi hvyo kufanya mawimbi ya mawasiliano kushindwa kupenya kwenye kuta hizo.

Solution ya kupata mawasiliano ni kufanya indoor solution yani kuweka portable antenna ndani ya majengo hayo ambayo itasaidia kuwepo mawasiliano.

Majengo makubwa yote huwa inafanyika hvyo.

Kwa wafanyabiashara wa kariakoo kuna challenge mbalimbali.

1. Miundombinu ya kuweka vifaa ni mibaya.
2. Gharama kubwa ya kuweka vifaa kila jengo ni kubwa compared to faida itakayopatikana.
3. Utitiri wa majengo yanayoibuka kila siku huwezi kuwapa huduma wote ukitegemea undergroung nyingi ndio zenye ishu.

Kwa uelewa wangu hizi ni baadhi ya changamoto
 

Chen Hu

JF-Expert Member
Mar 27, 2012
5,209
7,676
Unashangaa Kariakoo! nilifika ofisi kubwa kabisa ya nchi nikaona hakuna network, ila ilikuwa basement.
 
1 Reactions
Reply
Top Bottom