Mkuu kiranga unamdhihirisha kwa P h a r a o h kuwa unajificha kwenye kichaka cha vimisemo vya kingereza, umekomalia sana hiyo anthropic bias.
wewe kidogo tu unaanza ku outsmart wenzako mara unajua athropic bias ni nini? wakikukabia kwa juu "Straight to my ignore list"
Sisi hatujui tujulishe...
kiranga amekariri majibu yake kwa miaka yote. Hata uje na utofauti yeye anaganda humo kwenye "Mungu mujuzi wa yote, mwenye uwezo wote na blah blah zake"
kiranga, anaamini Anajua mengi ya kiulimwengu na anaamini yanamtosheleza kwaiyo hataki ya ziada (closed minded)
huwezi kuweka hoja na mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.