Recent content by akili_ninazo

  1. A

    Nafasi za kazi mbalimbali - 2026 Mega thread

    Tusife moyo tutapata michongo ya kueleweka hapahapa. Huu uzi una kitu tutie kambi.
  2. A

    Nafasi za kazi mbalimbali - 2026 Mega thread

    Seran ukikutana na kazi ya pharmacy technician naomba unitag please. Bila kuchoka.
  3. A

    Ulishakutana na mwanamke wa hivi?

    Nshawai kukutana nae huyo...
  4. A

    Namtafuta atakayenifaa maishani

    Unatumia muda kujuana na kumzoea mtu?
  5. A

    Namtafuta atakayenifaa maishani

    Sasa mbona Pm imefungwa Ms R, Napata mashaka na utayari wako.
  6. A

    Namtafuta atakayenifaa maishani

    unataka umuongeze na min -me?
  7. A

    Namtafuta atakayenifaa maishani

    Nitakupa akili mbili, moja ya kunipenda mimi tu na moja ya kuwakataa mahuni wa Jf. hizo si zinatosha...
  8. A

    Namtafuta atakayenifaa maishani

    Karibu Ms R
  9. A

    Namtafuta atakayenifaa maishani

    Usiwaze sana zamu yako itafika na wewe utachanhanyikiwa
  10. A

    Namtafuta atakayenifaa maishani

    Mkuu, wewe unashauri anipe nafasi wapi, moyoni au rohoni😂😂
  11. A

    Namtafuta atakayenifaa maishani

    penda kote mwanzo, kati na mwisho. unajifanya unakuja alafu unakataa... Hujui ndege mjanja ndio ananasa kweny tundu bovu. 😂
  12. A

    Namtafuta atakayenifaa maishani

    Daah nimesoma hii huku nakenua mpaka watu wamenishangaa... Nyie mabinti wa humu ni wamotoo sana. Uvumilivu ulinishinda ile asubuhi Nimeshastua kama viwili. Naamini havina utamu zaidi ya wewe kuingia moyoni kwangu
  13. A

    Namtafuta atakayenifaa maishani

    Kuolewa kupo, nyie ndio mnaleta mapepe na ufeminist wenu kutaka kumsulubu mwanaume kwa kigezo cha ndoa. Ukiwa na natural woman habit bila kufata trends za woman empowering utaolewa tena na mimi. mii sio jobless... Kuna mchongo nausikilizia
Back
Top Bottom