Recent content by Akida MALCOLM X

  1. Akida MALCOLM X

    Hii hapa Miji na Wilaya 60 zenye mapato mengi na mzunguko mkubwa wa biashara Tanzania

    Dodoma Makao Makuu ya Nchi,inahudumia Halmashauri 184,i.e Watumishi wa Hizo Halmashauri karibia Kila siku wapo safarini kwenda Dodoma,wanakula,wanalala,wananunua zawadi za wapendwa wao! Jumlisha Wafanyakazi wa Wizara,jumlisha Wanachuo wa UDOM,Mipango,St John,CBE,jumlisha Vyuo Vingine vya...
  2. Akida MALCOLM X

    Hii hapa Miji na Wilaya 60 zenye mapato mengi na mzunguko mkubwa wa biashara Tanzania

    Lakini kigezo kikuu Cha uwepo wa Soko ni Population! Na Vijana ambao obviously wengi ni Wafanyabiashara waso na mitaji mikubwa,Dar ndo destination haswaa! Mfano ukifungua Duka la nafaka, Sababu Kuna Watu wengi wenye kipato Cha kawaida,Utauza!
  3. Akida MALCOLM X

    Zifahamu Wilaya 82 za Tanzania Bara zenye idadi kubwa ya watu

    Paragraph ya Mwisho Kabla hujaleta Takwimu,umeandika zifuatazo ni Wilaya zenye Watu Wengi Tanzania Bara!
Back
Top Bottom