Ningekuwa Rais kwa dakika kumi tu ningeisambaratisha TAKUKURU, hawa jamaa ni mdebwedo kabisa, mahakamni tunalizwa rushwa kila siku, haki hazipatikani wako wapi? Upuuzi mkubwa huu, siko moja nilikimbilia TAKUKURU kuomba msaada hakimu anataka rushwa, tena hakimu akawa amenipigia mpaka namwambia...