Ngoja tusikie maneno kwenye chama, Mzee Sita kaonyesha njia, waliotuhumiwa ni binadamu, utajili wao ukae kando, Kama kweli ni mafisadi umma utawahukumu, pesa nikitisho, Lakini daima ukweli nikitisho zaidi.
Kagame kwenye issue inayogusa taifa lake, kwamtu yeyote mwizi wa Mali ya umma hana urafiki, hakika nikiongozi wa mfano katika nchi zinazoendelea anajua wajibu wake kwa watu wake,Rwanda hakuna migogoro ya Ardhi, hakuna tofauti ya elimu inayotolewa kwa wanafunzi wa nchi yake, hapa kwetu ni...
Sote ni Waafrika kwanini tunachochea chuki, mambo ya Watusi na wahutu, Watanzania ni makini ubaguzi wanini? Tujadili mambo makini, Kama Rwanda kunawatu makini tujifunze kutoka kwao, tuache chuki siku zote chuki inaanzishwa na watu wachache, amani ndiyo msingi wa maendeleo.Watusi na wahutu ni...
Naungana na wewe mkuu, watu wanapenda watu kwa matakwa binafsi, hawana muda wakujiuliza kulikoni mtu anatafuta urais kwa nguvu? Ni haki kwakila mtanzania kuwa kiongozi lakini kwanafasi ya rais hulazishi huenda kunajambo?
Kama kunajambo gumu nalisiloeleweka Tanzania Ardhi, hii wizara ilitakiwa iwe chini ya ofisi ya rais mwenyewe, kumiliki. Ardhi kupata hati kwa rai wakawaida ni jambo gumu mno , utaratibu unatumika unamapungufu Sana, unaruhusu watu wachache kujilimbikizia Ardhi, kwa mfano beach karibu zote za...
Tatizo lipo kwenye zoezi lenyewe, tra toa mafunzo wakati mwingine fungua maduka ya mfano maduka ya utafiti ni muhimu Sana, acha kukaa ofisini, kariakoo kodi nyingi si endelevu vitu vingi vinavyotegemewa kulipishwa kodi ni feki, kwahiyo fanyakazi ya yaziada a navyazo vyakudumu vya kodi, funguo...
Urais ni nafasi ngumu haina haja kwamtu makini kulazimisha, jamii ndiyo itatoa kiongozi, tatizo la watu wenyemajina yanayofahamika wanaokana ndiyo wenyeuwezo wakuongoza hapa Tanzania Luna watu wengi tu wadilifu na wenye uwezo wakuongoza , jamii inawafahamu wapo kwenyetasisi nyingi...
Sasa tumechoka tunaka Kali ya rais siyo ya mahakama. Tena maamuzi yasiwe Kama ya samaki , ikibidi liitishwe bunge tusikie kauli zao katika hili la wachina na pembe za Ndovu
Linaukubwa wa eka 360 lipo wilaya ya Mpanda linahati miliki, linafaa kwa kupanda miti ya matumizi ya nguzo za umeme(milingoti) kwa mawasiliano.0653 4022 99/0757241118
Wakati mwingine tukubaliane ingawa siyo rahisi kila mtu kukubaliana na mwingine, mheshimiwa rais leo kasema ukweli, mjadala wakatiba umetawaliwa na watu wakundi ya itikadi zao, Leo naungana na rais aliyoyasema ndiyo ndiyo ukweli.Kama kunamapungufu kwenye maeneo mengine tuyaseme wakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.