Ikumbukwe mizimu ya buhaya ni tofauti kabisa na mizimu ya makabila mengine hata matambiko yalikuwa tofauti Sana , mizimu ya wahaya Inafanana Sana na ya Waganda kwa asilimia 100,
Na mizimu ya wahaya ina Koo maalumu na Ina miiko maalum, kama Kuna mtu amewahi kufika kwenye eneo la makazi ya Kabaka...
Watu hawaelewi haya mambo Mimi ni mhaya naomba kueleza kidogo, mizimu ipo na Ina nguvu Sana, sitaki kuifananinisha na Mungu , nitakufuru , lakini kabla ya kuja kwa dini hizi za kigeni mizimu iliabudiwa, kiufupi yenyewe hufuatilia mambo yanavyokwenda kwenye ukoo, na sio kwamba ni ngu ya shetani ...
Kwa akili yako unadhani Nani anachafua utawala fulani kwa kuua watu hivyo , wakati wa JPM hiyo akili ya kuchafua utawala uliiweka nchi gani
Haya matukio lazima tuyalaani sote tusianze kubebesha mizigo watu fulani kijingajinga na kusambaza chuki
Mkuu naona wewe unachanganya mambo , Prof namfaham kabla ya kuwa mbunge na baada ya kuwa mbunge
Ukisema shule hakujenga kwao niambie shule ya Kajumulo Alexander Girls School iko wapi na imejengwa na Nini
Shule ya wasichana na anatoa elimu kwa kuwafadhili wasichana
Pamoja na kujitolea huko...
Nafikiri hujafuatilia michango ya Profesa Anna bungeni na nje ya Bunge ndugu
Katika wabunge wa Kagera walioongelea Kagera na kuipigania Ni Prof Anna Tibaijuka
Aliongelea zao la kahawa mpaka Rais akaingilia Kati , aliamuru wananchi katika Jimbo lake wauze kahawa popote wanapotaka na akagombana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.