Waraka wa Profesa Anna Tibaijuka kuhusu Maendeleo ya Mkoa wa Kagera. "Kagera Twafa"

Kwa nyumba nzuri vijijini hawana mpinzani kuna mahekalu kwenye migomba mengine hata masaki yanastahili ,tatizo mjini tu,ukifungua duka kama hujui kihaya utakoma,anakuja mteja. Iwe ndetela akananka aiko,kama hujaelewa kesho haji hapo anajua huyu mnyamahanga
Zamani sana kulikuwa na rafiki yangu alikuwa anakwenda Bukoba kikazi. Alikata ticket ya basi kutoka Mwanza siku mbili kabla ya safari, na kupata kiti. Siku ya safari jamaa akawahi akapandisha mizigo yake na kukaa kwenye kiti chake akisubiri safari ianze. Muda mfupi kabla ya safari kuanza, akaja mzee mmoja wa kihaya naye anataka kusafiri wakti huo huyo; ikabidi kondakta amfuate jamaa yule na kumurudishia hela yake ya nauli huku akimshurutisha atelemke, na mizigo yake pia ikatelemshwa. Jamaa akakosa safari aliyokuwa ameipanga kwa siku mbili, ila tatizo lake aliingia basi la wahaya wakati yeye siyo mhaya.
 
Zamani sana kulikuwa na rafiki yangu alikuwa anakwenda Bukoba kikazi. Alikata ticket ya basi kutoka Mwanza siku mbili kabla ya safari, na kupata kiti. Siku ya safari jamaa akawahi akapandisha mizigo yake na kukaa kwenye kiti chake akisubiri safari ianze. Muda mfupi kabla ya safari kuanza, akaja mzee mmoja wa kihaya naye anataka kusafiri wakti huo huyo; ikabidi kondakta amfuate jamaa yule na kumurudishia hela yake ya nauli huku akimshurutisha atelemke, na mizigo yake pia ikatelemshwa. Jamaa akakosa safari aliyokuwa ameipanga kwa siku mbili, ila tatizo lake aliingia basi la wahaya wakati yeye siyo mhaya.
Huyo mzee atakuwa ile jamii ya abalangira,hata kanisani kama we mgeni ukakaa siti yake akija utatoka tu,hivi vitu vinachekesha sana
 
Huyo mzee atakuwa ile jamii ya abalangira,hata kanisani kama we mgeni ukakaa siti yake akija utatoka tu,hivi vitu vinachekesha sana
Jamii ya kihaya Ina classes tu Toka zamani ingawa sijui hizi imeisha hiyo....

Kuna
walangira
Wachwezi
Watware nk
Hiz ni classes zilizokuwa zinapata treatment tofauti katika jamii....




Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Mkuuu badala ya kutudhiaki tushaulini kipi cha kufanya ili tujikwamue,Namkubali sana sisi ni mabishoo ila tuoneeni huruma tu
Nakwambia mtalia weeee!! mpaka mkome mwaka huuu!! nyerere aliwasaidia mkawa mnasema kale kazanaki kana kiherehere sasa ngoma ndo hiyo usomi wooote huo kumbe bure kabisa!!... hayupo sasa mtalia sana!!

si mko ulaya nyie nusu ya wahaya changeni basi dola 1oo tu kila mmoja ni hela ngapi hizo!! Tibaijuka panda ndege kaongee na wahaya wenzako huko ughaibuni mchangishane!! kwani daispora hawana umoja?? lichama lao linaitwaje kwani!!

mie ndo maana nawaonaga hamna akili!! mnapigika mpaka mnakuja kulialia humu Na nywele zenu mwili mzima?? aibuuuu? mwee!!..... wanaume sisi tunakomaa tu kimya mpaka kieleweke!!....

tena km mbunge wetu akilia km hivi ndo kabisaaa!! hela zinamiminika hivi kutoka Diaspora!! majidai yote kwishne!! sirikali yenyewe inakusanya kodi zetu sie watu, ili kufikia malengo tuliyo ituma na nyie toeni kodi ya sisrikali!


km hamtaki si mkafanye vibarua hapo karibu tu Burundi!! mje mlipe!! sasa kodi yangu iende huko kwa watu wazembe thubutu!!! hakuna kuwapa hela itarudije??? mnashindwa na Mtwara??

Mnashindwaje kujifunza kwa mikoa tulio fanikiwa?? hawa kwa kiburi na kejeli zao zimewaponza hawawezi kupokea msaada wa mtu eti wanataka sirikali mweee!! mtadoda mpaka mnuke vikwapa!!

halafu mara zote hamueleweki mnakau-tapeli kasiko ishaga hivi ni kweli mmepigika nyie??? tunawangalia kwa jicho la tatu sisi, make tangu zama hamaminiki basi uzeni ndizi muishi? senene hazuziki kwani!! au naniliu
 
Nakwambia mtalia weeee!! mpaka mkome mwaka huuu!! nyerere aliwasaidia mkawa mnasema kale kazanaki kana kiherehere sasa ngoma ndo hiyo usomi wooote huo kumbe bure kabisa!!... hayupo sasa mtalia sana!!

si mko ulaya nyie nusu ya wahaya changeni basi dola 1oo tu kila mmoja ni hela ngapi hizo!! Tibaijuka panda ndege kaongee na wahaya wenzako huko ughaibuni mchangishane!! kwani daispora hawana umoja?? lichama lao linaitwaje kwani!!

mie ndo maana nawaonaga hamna akili!! mnapigika mpaka mnakuja kulialia humu Na nywele zenu mwili mzima?? aibuuuu? mwee!!..... wanaume sisi tunakomaa tu kimya mpaka kieleweke!!....

tena km mbunge wetu akilia km hivi ndo kabisaaa!! hela zinamiminika hivi kutoka Diaspora!! majidai yote kwishne!! sirikali yenyewe inakusanya kodi zetu sie watu, ili kufikia malengo tuliyo ituma na nyie toeni kodi ya sisrikali!


km hamtaki si mkafanye vibarua hapo karibu tu Burundi!! mje mlipe!! sasa kodi yangu iende huko kwa watu wazembe thubutu!!! hakuna kuwapa hela itarudije??? mnashindwa na Mtwara??

Mnashindwaje kujifunza kwa mikoa tulio fanikiwa?? hawa kwa kiburi na kejeli zao zimewaponza hawawezi kupokea msaada wa mtu eti wanataka sirikali mweee!! mtadoda mpaka mnuke vikwapa!!

halafu mara zote hamueleweki mnakau-tapeli kasiko ishaga hivi ni kweli mmepigika nyie??? tunawangalia kwa jicho la tatu sisi, make tangu zama hamaminiki basi uzeni ndizi muishi? senene hazuziki kwani!! au naniliu
Wewe mzee mbona hasira hivyo, ukiendelea kuwawaza wahaya utakufa mapema.
 
Tatizo lenu akina nshomire hamtakikurudi kwenu mkishaenda nje ya mkoa ,Ninyi mnawasimi wengi kuliko kabila lolote Tanzania, tatizo hamtaki kuwekeza kwenu tofauti na wachagga ambao mnapambana nao, wao wanapenda nyumbani, Mim nimesomea pale IHUNGO, padre mmoja alikuwa anatuambia, wahaya wakiamua kujenga kwao inakuwa Kama Mwanza, tatizo Idd Amin alishawatia hofu, Sasa HIV Idd Amin jamn hayupo Rudisheni Fadhila kwenu
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wazalendo wote nchini na Duniani kwa Ujumla

Nimeambatanisha Waraka Kutoka kwa Profesa Anna Tibaijuka kuhusu uduni wa Maendeleo kwa Mkoa wa Kagera

---
KAGERA ,TWAFA

Anaandika Profesa Anna Tibaijuka
View attachment 2084908
Kagera. TWAFA. Tumuombe Rais Samia atuangalie kwa jicho la huruma, la mama mzazi.

1. Mwaka 1961 tukipata uhuru Kagera ulikuwa mkoa wa pili kwa maendeleo baada ya Kilimanjaro. Sasa hivi miaka 60 baada ya uhuru ni mkoa wa mwisho Tanzania Bara. Nambari 25.

2. Taarifa rasmi za Benki kuu..(Consolidated Zonal Economic Performance Report) Inaorodhesha pato la taifa kwa kila mkoa kwa kila mwananchi au kichwa (per capita GDP) kwa Tanzania bara.

3. Kwanza ni Dar es Salaam. Shs 4,678,751. Mwisho namba 25 ni Kagera Shs 1,168,661.

4. Kwa asilimia kipato cha mwananchi mkoa wa Kagera ni asilimia 44% tu ya kipato cha Taifa.

5. Na asilimia 25% au robo ya kipato cha wakazi wa Jiji Kuu la Dar es Salaam.

6. Ukilinganisha na Makao makuu Dodoma (Shs 1,759,347) Kagera ina asilimia 66% au theluthi mbili.

7. Hali ni tete. Kaya maskini nyingi hata mlo ni wa kubahatisha katika hali ya kawaida. Ukiingiza ukame inakuwa zahama.

8. Tukubali mkoa slowly but surely umefilisika. Tunahitaji kufanya tathmini ya kina kuona tunajikwamua vipi. Nini kazi ya Serikali? Nini jukumu la WanaKagera. Na kipi Mhe Rais wetu Mama Samia atuwekee nguvu?. Mambo yalipofikia tunahitaji mbinu zote na mikakati mipya kubadilisha hali hii isiyopendeza.

9. Lazima kumwangalia adui umaskini machoni na kupambana naye.
Tukikata tamaa au kulaumu hatutafanikiwa.

10. Kinachohitajika ni utambuzi na uelewa wa pamoja wa sababu za kufilisika kiasi hiki ili kurekebisha mambo. TUNAWEZA. KUJIKWAA SI KUANGUKA. Ila lazima tujipange. Kila mtu kwa nafasi yake.

11. Mwalimu Baba wa Taifa alisema. "It can be done. Play your part".

12. Ninawapongeza waheshimiwa Rais Samia na Waziri Mkuu Majaliwa kwa kupanga safu ya uongozi upya. Tumeshuhudia maboresho makubwa. Tunawapongeza Mawaziri na Makatibu Wakuu na Manaibu wote walioaminiwa na kupewa majukumu ya kuongoza sekta mbali mbali. Ninaomba nao waangalie hii hali tete ya Mkoa. Twafaaa... Tunahitaji msaada.

Na wenzetu wa Kigoma nambari 24.( Shs 1,479,389); Singida nambari 23. (Shs 1,622,891) sina budi kuwasemea pia. Kwa ujumla wetu: TWAFAAA.

KAZI IENDELEE katika mwaka huu wa OTAGWISA MUKONO.

Mama T

Chanzo: Bukoba Wadau
K
 
Mkuu naona wewe unachanganya mambo , Prof namfaham kabla ya kuwa mbunge na baada ya kuwa mbunge

Ukisema shule hakujenga kwao niambie shule ya Kajumulo Alexander Girls School iko wapi na imejengwa na Nini

Shule ya wasichana na anatoa elimu kwa kuwafadhili wasichana

Pamoja na kujitolea huko alijitahidi kujenga mashule kwa kuongozwa utaifa ndo maana amejenga Pwani ambayo ndo pekee unayojua naona.

Ukiacha Hilo, katika ubunge wake ameshawishi bohari ya dawa,, MSD ,imejengwa Muleba na ni bohari tegemewa ya Kanda

Na mengine mengi, jitahidi kufuatilia kabla ya kuja kwenye huu ukurasa kushutumu watu

Wewe naona hamjui Tibaijuka vizuri,kwao Mleba kafanya kipi cha maana?Hata shule kajenga mkoa wa Pwani baadala ya kujenga kwao Mleba ili ndugu zake waliompa ubunge wafaidike na elimu,amekuwa aridhi alifanya nini,ni mradi hupi aliupeleka kwao Muleba?Sanasana migogoro ya aridhi,angalia Magufuli alipokuwa bado Waziri ajawa bado Rais wetu, alikuwa amefanya mangapi chato,watu wanalalamika eti Magufuri alikuwa anapendelea chato,kumbe Magufuri kaanza kujenga chato kuanzimka akiwa Waziri,
 
Tibaijuka Yeye amekua Waziri katika Serikali, mbona hatujawahi kusikia anawasemea wana Kagera, amekuwa mbunge miaka 10, hatukuwai kuona hata akisemea zao kuu la biashara kahawa, wakati Nchi jirani Uganda kahawa ni bei ni zaidi ya mala 3, mpaka kagera tunatamani kuuza Uganda. Tibaijuka alichokifanya alipopata ubunge na uwaziri ni kujimilikisha aridhi tu,akuna alichosaidia chochote, Sasahivi eti anapiga kelele.
uyu si ndio aliyebeba kwenye lumbesa ule mgao wa lugemarira akadai amechukua tu cent twa mboga mboga?
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wazalendo wote nchini na Duniani kwa Ujumla

Nimeambatanisha Waraka Kutoka kwa Profesa Anna Tibaijuka kuhusu uduni wa Maendeleo kwa Mkoa wa Kagera

---
KAGERA ,TWAFA

Anaandika Profesa Anna Tibaijuka
View attachment 2084908
Kagera. TWAFA. Tumuombe Rais Samia atuangalie kwa jicho la huruma, la mama mzazi.

1. Mwaka 1961 tukipata uhuru Kagera ulikuwa mkoa wa pili kwa maendeleo baada ya Kilimanjaro. Sasa hivi miaka 60 baada ya uhuru ni mkoa wa mwisho Tanzania Bara. Nambari 25.

2. Taarifa rasmi za Benki kuu..(Consolidated Zonal Economic Performance Report) Inaorodhesha pato la taifa kwa kila mkoa kwa kila mwananchi au kichwa (per capita GDP) kwa Tanzania bara.

3. Kwanza ni Dar es Salaam. Shs 4,678,751. Mwisho namba 25 ni Kagera Shs 1,168,661.

4. Kwa asilimia kipato cha mwananchi mkoa wa Kagera ni asilimia 44% tu ya kipato cha Taifa.

5. Na asilimia 25% au robo ya kipato cha wakazi wa Jiji Kuu la Dar es Salaam.

6. Ukilinganisha na Makao makuu Dodoma (Shs 1,759,347) Kagera ina asilimia 66% au theluthi mbili.

7. Hali ni tete. Kaya maskini nyingi hata mlo ni wa kubahatisha katika hali ya kawaida. Ukiingiza ukame inakuwa zahama.

8. Tukubali mkoa slowly but surely umefilisika. Tunahitaji kufanya tathmini ya kina kuona tunajikwamua vipi. Nini kazi ya Serikali? Nini jukumu la WanaKagera. Na kipi Mhe Rais wetu Mama Samia atuwekee nguvu?. Mambo yalipofikia tunahitaji mbinu zote na mikakati mipya kubadilisha hali hii isiyopendeza.

9. Lazima kumwangalia adui umaskini machoni na kupambana naye.
Tukikata tamaa au kulaumu hatutafanikiwa.

10. Kinachohitajika ni utambuzi na uelewa wa pamoja wa sababu za kufilisika kiasi hiki ili kurekebisha mambo. TUNAWEZA. KUJIKWAA SI KUANGUKA. Ila lazima tujipange. Kila mtu kwa nafasi yake.

11. Mwalimu Baba wa Taifa alisema. "It can be done. Play your part".

12. Ninawapongeza waheshimiwa Rais Samia na Waziri Mkuu Majaliwa kwa kupanga safu ya uongozi upya. Tumeshuhudia maboresho makubwa. Tunawapongeza Mawaziri na Makatibu Wakuu na Manaibu wote walioaminiwa na kupewa majukumu ya kuongoza sekta mbali mbali. Ninaomba nao waangalie hii hali tete ya Mkoa. Twafaaa... Tunahitaji msaada.

Na wenzetu wa Kigoma nambari 24.( Shs 1,479,389); Singida nambari 23. (Shs 1,622,891) sina budi kuwasemea pia. Kwa ujumla wetu: TWAFAAA.

KAZI IENDELEE katika mwaka huu wa OTAGWISA MUKONO.

Mama T

Chanzo: Bukoba Wadau
Tukisema Kagera na mikoa ya Kanda ya Ziwa kwa ujumla ni maskini wa kutupwa mnasema tuna chuki .

Sasa kaongea wa huko huko,tabia ya kujifariji kwa vijumba vya walio Nje ya Mkoa huo.
 
Back
Top Bottom