Wadau sijui kama itakua kwa upande wangu au ni sote ila kiukweli twita kwa sasa haifanyi kazi huwez tuma ujumbe au kupokea hata kama una kifurushi cha namna gani yaan ninahis utabir umetimia.
Watu hamkos visingizio ila ukweli adui wa mwafrika ni mwafrika mwenyewe. Sku zote watawala wa afrika wamekua na udikiteta na ukaid kwa raia wao ndo maana inapotokea upenyo wa mataifa ya magharibi wanaingia kirais kwani ni raia wenyewe wanakua wamechoka. Mfano tu kama unafuatiria kampain nyomi...
Habari wana jamvi ninahitaji vifaranga vya kuku mwezi mmoja chotara au black leghon ambavyo vimeisha pata chanjo na vimeifadhiwa vizuri.
Ninaomba kama unaweza kuvipata au unajua kitalu kizuri kilipo tuwasiliane, location nipo Kinondoni Mabwe Pande. Bei tutaelewana asante sana ni kwa Dar pekee...
Leo nimepita kwenye twita nikakuta bandiko linaloonesha yakua ukituma sms kumuombea kura tundulisu haziendi ila ukiandika magufuli zinaenda, sasa nikajiuliza magufuli kuika huko ameishajua anashidwa, kwann amefika mbali mno, Yaan TISS, Polisi, NEC, vyombo vya habari, mambango Tra n.k sasa...
Watu wanasema kibada ili kukidhi haja ya walimwengu, kwani akisema nyumba yangu atashabuliwa kwa maneno na kejeli utasikia dah si kwamajivuno hayo kijumba chenyewe chumba kimoja ila utasikia nyumba yangu n.k hivo hatuna jince lazima tujishushe ili watu walidhike
Huyu magu hawez kabisa kujieleza na hana haiba ya uanasiasa, nimtu mwenye jeuri majivuno ka kiburi. Na sikuzote watu wenye uelewa mdogo hutumia nguvu kubwa kwenye mambo yake. Hivo swala la inteeview ni ndoto kwake
Ponda anajua kujenga hoja na kuitetea nimtu mtulivu sana anapokua anaongea ni kweli ni mtu hatari kwani ukimuacha dakika watu wapo barabarani nimeshuudia Dodoma watu wanaapa kulinda kura. Ponda ni namba nyingine.
Kama inavosomeka hapo juu kwenye pitapita zangu za kusaka maarifa ya kidunia nimekutana na maneno hayo mawili yakionesha utofauti mkubwa.
Katika utofauti wa hayo maneno walienda mbali zaid na kuonesha yakua rich mwisho wake ni umasikini na wealth mwishowake ni good life.
Sasa nikajiuliza...
Mwanafunzi wa form six anakua na ndoto kubwa sana juu ya maisha yake akifika chuo ndo hapo ndoto ukua na kuona kama anakaribia mafanikio ila tatizo linaanzia pale anamaliza masomo yake anaenda mtaani mtu aliye kua anawaza gari kali nyumba nzur n.k anaambiwa aanze ujasiliamali wa kuuza tikiti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.