Tanzania amani ipo ama haipo ?Naomba kujua definition ya AMANI na ili Amani ipatikane ni vitu gani vinatakiwa kufanywa kuleta Amani. Ninavyojua mimi Amani inapatikana kukiwa na HAKI, UHURU na vitu vingine.
Nashangaa wanaohubiri Amani hawasemi mambo ya Haki!
Vitu vingine ambavyo hukutaja ni uoga na uthubutu.Naomba kujua definition ya AMANI na ili Amani ipatikane ni vitu gani vinatakiwa kufanywa kuleta Amani. Ninavyojua mimi Amani inapatikana kukiwa na HAKI, UHURU na vitu vingine.
Nashangaa wanaohubiri Amani hawasemi mambo ya Haki!