ni kweli..
voda hakufai tangia tar 14 dec...kama darfur vile..
nimejiunga na kifurushi cha buku nikapewa masekunde meeengi voda to voda na sekunde sitini kwenda mitandao mingine..huu ni utani hakika..
dawa yao ni kuwakimbia tu..mwisho watashika adabu..
wamekwenda kulinda amani sudan wakati sisi wenyewe hali yetu ni ya kuunga unga..hatujui kama kesho tutaamka salama...wanajeshi wako makambini na masilaha yao..tunaombeni waingilie kati...wawasaidie polisi..hali ni mbaya..jk mwenyewe amekiri hilo alipokuwa ziarani huko uhayani..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.