Wakubwa kuna mtu ananipa somo kuhusu uwekezaji wa mtandani kupitia kitu inaitwa Effiliate naomba oujua zaidi kama ni cha kufanya au cha kuacha maana naweza kusema naipotezea kumbe naweza kupata kihela cha vocha
Huu Uzi ulinipa demu wa level sana halaf nilijikuta namkubali sana ingawa alikuwa bado hajatuliza mawenge vizuri..
Tarh 30 mwez wa 10 niliitwa bank moja Dodoma kuna mshiko nikaupokee.. nimefika bahat nzuri nikakutana na mshikaji ni dereva na hatukuonana muda mrefu kitu kilichofanya tuongee kwa...
Wakubwa habari,
Ni kijana mwenzenu naomba msaada wa ufahamu. Mimi ni Mtumishi wa Umma niliajiliwa na elimu ya kidato cha nne.
Ila ninandoto ya kuitwa Injinia siku moja na ninaamini kwenye ufundi kuwa ndo nitakapotajirika.
Swali; Je naweza kusoma ufundi veta na nikakidhi vigezo vya kusoma degree?
bila shaka mleta mada ni single Mama..
Labda nichangie kwa kusema.. Kuoa sio jambo la plan na wala sio jambo la kubahatisha. Wapo waliooa masingle Mama wakapendana sana na maisha yakawa mazuri mno.. lakin wapo waliooa masingle Mama mambo yakawachachia na wapo waliooa Bikra wakajiaminisha kuwa...
Kwakweli siwez hata kudanganya kwenye hili..
Ninayempenda ni mmoja kwa sasa simcheat lakn kipindi hicho nilikuwa nikikutana na mdada mrembo mrembo najibebisha siku mbili tatu akiingia kwny line namtoa out akishaingia kwny mtanange wa kukaa sehem ya kutulia analiwa na nikishapita ndo hisia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.