Wanaume wa hit and run wanaongezeka kwa kasi ya ajabu mno aisee💔

This is the game of timing. Ulichokisema ni sawa kabisa and the vice-versa is true. Hata wanawake imagine mmekutana hata wiki haijaisha anaanza kukuomba hela. Boys kuweni makini.

In short ukiona mwanaume amekutongoza halafu akakuomba game any time soon, ujue kuna udhaifu kwako kauona au hicho ndio kilichomfanya akutongoze.

Kitu msichojua wanawake kuhusu sisi vidume ni kwamba, ninaweza kukutongoza kwa nia nzuri kabisa. Ila mazungumzo yetu na the way unavyo behave naweza ku conclude kua hapa ni penyewe au hakuna kitu hapa.

Sasa itokee niwe na conclusion nzuri ila nikiona hapa hakuna kitu huwa hatuwaambii wala hatuwapotezei ila tunataka walau tuchape ndio tukuache uende.

So be careful unapotongozwa. Kuombwa ngono inawezekana ni matokeo ya ulivyo jiweka. Nimekutongoza leo kesho kutwa unaomba pesa. Wewe unaweza kufikiri unanitega uone kama nitaweza kukuhudumia ila tafsiri yetu huwa ni tofauti kabisa. Kitakachofua nitakupa pesa unayoitaka ila huku nikiweka mazingira ya kupata game as soon as possible.

Win win situation
Umeongea vizuri sana. Hiyo akili ndio huwa naitumia.
 
Kwakweli siwez hata kudanganya kwenye hili..
Ninayempenda ni mmoja kwa sasa simcheat lakn kipindi hicho nilikuwa nikikutana na mdada mrembo mrembo najibebisha siku mbili tatu akiingia kwny line namtoa out akishaingia kwny mtanange wa kukaa sehem ya kutulia analiwa na nikishapita ndo hisia zinanirudia kuwa nimemsaliti ninayempenda kwa hyo hapa inakuwa biashara imeshaisha
 
Wanaume wa hit and run wanaongezeka kwa kasi ya ajabu mno aisee Ladies kuweni makini ... Imagine mtu mmekutana hamna Hata week ameshaanza kuleta stories za Mapenzi

97a1cbcc-b1ea-480d-9b27-a27e722cb2ad.jpg
 
I understand vyote ulivyoongea ni kweli na inakuwaje kwa mtu ambae mmekutana restaurant tu tena huenda ukawa huna hata mpango nae nae ulienda kwa mambo Yako ya kula na kuondoka? Hapo imekaaje?
Hapo ni uanaume sasa. Wanaume tumeumbiwa kutongoza na kuchakata. Ndio maana mwanaume anaweza kukutana na wewe njiani akakuambia dada nimekupenda. Ukimkataa haitachukua hata lisaa keshakusahau anatongoza mwingine.

Kwa mazingira hayo ni wewe kukubali au kutaa ambapo vyote havina effect ya maana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom