Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,716
- 15,281
Mmh kumbe mna filingziiiWanawake ni tofauti na wanaume jamani sisi tunatoa penzi kwa mtu ambae tuna mfeel
Mmh kumbe mna filingziiiWanawake ni tofauti na wanaume jamani sisi tunatoa penzi kwa mtu ambae tuna mfeel
😀😀kuna magari ya taka pia hayachaguiHata sisi tunatongoza dem unaye mfeel
Umeongea vizuri sana. Hiyo akili ndio huwa naitumia.This is the game of timing. Ulichokisema ni sawa kabisa and the vice-versa is true. Hata wanawake imagine mmekutana hata wiki haijaisha anaanza kukuomba hela. Boys kuweni makini.
In short ukiona mwanaume amekutongoza halafu akakuomba game any time soon, ujue kuna udhaifu kwako kauona au hicho ndio kilichomfanya akutongoze.
Kitu msichojua wanawake kuhusu sisi vidume ni kwamba, ninaweza kukutongoza kwa nia nzuri kabisa. Ila mazungumzo yetu na the way unavyo behave naweza ku conclude kua hapa ni penyewe au hakuna kitu hapa.
Sasa itokee niwe na conclusion nzuri ila nikiona hapa hakuna kitu huwa hatuwaambii wala hatuwapotezei ila tunataka walau tuchape ndio tukuache uende.
So be careful unapotongozwa. Kuombwa ngono inawezekana ni matokeo ya ulivyo jiweka. Nimekutongoza leo kesho kutwa unaomba pesa. Wewe unaweza kufikiri unanitega uone kama nitaweza kukuhudumia ila tafsiri yetu huwa ni tofauti kabisa. Kitakachofua nitakupa pesa unayoitaka ila huku nikiweka mazingira ya kupata game as soon as possible.
Win win situation
Hii ni mbaya sana 😂💔Ukiona unatumia mda kumpenda mtu ujue unajilazimisha, Ile kitu ni automatical the first sight
Kwan wee unadhn one night stand na strangers nyng huwa zinapigwaje?
Mtu humjui hakujui nnakutana kwny bus na mnakulana
Unajenga Upendo taratibu halafu pesa unaomba immediately. Hii imekaaje.Hizo feelings zinatengenezwa ndani ya siku mbili tu? Ukumbuke kuwa wanawake tunajenga upendo taratibu na ndio hapo tunaanza kupata feelings ... Tofauti na wanaume ambao wao huwa wanaongozwa na tamaa
Mpaka nikuzoee haswaa ndio nikutangazie shida tena sio mara kwa maraUnajenga Upendo taratibu halafu pesa unaomba immediately. Hii imekaaje.
Mnae mfeel sio mwenye pesa.Wanawake ni tofauti na wanaume jamani sisi tunatoa penzi kwa mtu ambae tuna mfeel
kuna magari ya taka pia hayachagui
Njoo dm tuzoeane tuanze kuombana after 1yrMpaka nikuzoee haswaa ndio nikutangazie shida tena sio mara kwa mara
Ulitaka alete stori za taifa starz!!
😂😂😂🙌Njoo dm tuzoeane tuanze kuombana after 1yr
🙄🙄🙄Wiki?umelaziwa damu sana
SawaMalaya wapo kazini, ndio Kazi ambayo wamechagua kila mtu ana namna yake ya kutafuta hela
Wanaume wa hit and run wanaongezeka kwa kasi ya ajabu mno aisee Ladies kuweni makini ... Imagine mtu mmekutana hamna Hata week ameshaanza kuleta stories za Mapenzi
Hapo ni uanaume sasa. Wanaume tumeumbiwa kutongoza na kuchakata. Ndio maana mwanaume anaweza kukutana na wewe njiani akakuambia dada nimekupenda. Ukimkataa haitachukua hata lisaa keshakusahau anatongoza mwingine.I understand vyote ulivyoongea ni kweli na inakuwaje kwa mtu ambae mmekutana restaurant tu tena huenda ukawa huna hata mpango nae nae ulienda kwa mambo Yako ya kula na kuondoka? Hapo imekaaje?
Hawajui acha tuwasanueUmeandika point tupu,
Wanawake wanajiclassify wenyewe,
Wasitafute mchawi ktk hili,tatzo lao wanadhan wakishatamkiwa wanapendw akik zote znayeyuka