Recent content by AK-12

  1. AK-12

    Nahitaji Makaa Ya Mawe Kwa Matumizi Ya Nyumbani

    Labda kama unafua vyuma ukayatumie hayo makaa ya mawe kufanya heat treatment,lakini kuhusu kupika happ naona unakaribisha hasara zaidi kuliko faida. Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
  2. AK-12

    IGP Wambura, RPC wa Dar es Salaam, OCD wa Kinondoni na Mkuu wa Police Kawe pokeeni hizi Updates za Mfanyabiashara Katili Soko la Kawe Bwana Cherehani

    Hapa ndio kanishangaza kabisa,mleta mada anajifanya mtu mwema halafu anashauri mbinu za kimafia zitumike na vyombo vya dola. Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
  3. AK-12

    Tukumbushane visa vya kwenye Biblia ambavyo ni funzo pia kwetu

    Shetani baada ya kuasi mbinguni akaachishwa kazi halafu akalipwa Dunia kama mafao, msione tunateseka hivi hapa duniani mjue shetani anakula mafao.
  4. AK-12

    Ushauri wa biashara ya kuagiza vitu China

    Ukisha agiza unavipataje, yaani unavichukulia wapi vitu vyako?
  5. AK-12

    Watanzania waliokwama Ukraine kusaidiwa kuondoka na Russia kutaichafua Sana nchi kipindi ambacho Russia inatengwa na Dunia

    "Baniyani mbaya kiatu chake dawa" kama unaweza kutumia msaada wa adui yako kijitoa kwenye matatizo ,usisite kufanya hivyo. Ingawa urusi sio adui yetu.
  6. AK-12

    Arusha: Mfanyakazi wa ndani mbaroni kwa tuhuma za kumuua mtoto wa bosi

    Yaani mikoa yote hii bongo waliiacha, wakaenda kuchukua house girl "KANDA YA ZIWA".[emoji23][emoji23]
  7. AK-12

    What shall I do to make my pubic hair long?

    Dada tulia tu,njia ya chooni haioti nyasi.
  8. AK-12

    Kamati ya Msiba Mwili ukienda Dodoma, baadaye jioni tuitane chemba na tukosoane kwa uzembe wa hali ya juu ulioonekana leo Uhuru

    Nakumbuka kwenye msiba wa Mandela watu walishauriwa wasijazane Sana uwanjani.
  9. AK-12

    Tafsiri ya zawadi ya nazi "Coconut"

    Ile chopping board yenye fangasi ndio unataka kumlisha mdau,au kuna nyingine?
  10. AK-12

    Je, unatumia Chopping Board kwa kukatia vitunguu na nyanya?

    Hio chopping board inaonekana kama imeanza kuota moss na fungus, yaani kama ukiicha wiki mbili bila kuitumia unakuta uyoga umeota hapo.
  11. AK-12

    Lee Min Ho na plastic surgery zaidi ya 12 usoni

    Kwa wakorea sura ni muhimu sana kama lilivyo tako kwa wadada wa kibongo.
  12. AK-12

    Lee Min Ho na plastic surgery zaidi ya 12 usoni

    Ile nchi unaweza ukawa na vigezo vyote vya kuajiriwa, ila sura ikakuponza. Yaani kama unasura mbaya unaweza ukakosa hata kazi ya ulinzi. Hilo jambo linanishangaza sana juu ya hawa watu.
  13. AK-12

    Mada ya wanyama

    Hili dude wabongo wanaliita chunusi,wanaamini kwenye maji kuna jini linalofyonza damu,kumbe ni huyo electric eel anakugonga shoti unakufa halafu tukikupata tunakukuta umepungukiwa damu sababu ya ile shoti,hapo wabongo ndio wanasema jini lilikunyonya damu[emoji16][emoji16][emoji16]
  14. AK-12

    Mshikaji wangu alivyotapeliwa na Mnyarwanda pesa ya kununua coaster 2, sasa hivi hana hamu tena

    Tuliambiwa pesa zipitishwe na bunge kabla hazijatumika,lakini mkasema hampangiwi. Haya sasa mmepangiwa na mwingine Maisha ni kupanga na kupanga ni kuchagua, tushapigwa tuwe wapole.
  15. AK-12

    Drones ni game changer kwenye vita

    Drones ni kama sniper wa anga.
Back
Top Bottom