Recent content by Ajuza wa JF

  1. Ajuza wa JF

    JamiiForums Tanzania It seems Jamii Forums imefungiliwa, sasa naioata kwenye desktop?

    Kwangu mpaka muda huu nimeingia kwa VPN
  2. Ajuza wa JF

    JamiiForums Tanzania Mtu akisema wanawake wa JF wamezeeka anakuwa amejuaje?

    Mzee ni mimi tu wengine wote vigoli
  3. Ajuza wa JF

    JamiiForums Tanzania Hivi kampuni kongwe inayomilikiwa na Mtanzania (mweusi) ni ipi? Ina miaka mingapi?

    Kuhakikisha usimamizi mzuri, kufundisha mtoto kazi za kampuni ambaye ndiye atakayeiendeleza, na kusomea fani itakayomwezesha kusimamia kampuni kwa ufasaha, pia waliobaki kwenye familia wawe share holders wanufaike
  4. Ajuza wa JF

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Halmashauri Mbeya imetuuzia maeneo yenye Mwekezaji anayehatarisha afya zetu kwa kutumia baruti

    Vina changamoto gani kiongozi, kwani nami nimeshawishika kupata kimoja nisije nikaingia mkenge
  5. Ajuza wa JF

    JamiiForums Tanzania Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    Arsis hongera kwa uzi huu, nimekuwa nikiufatilia kwa makini na nimejifunza mengi sana ambayo sikuwa nayafahamu. Ila nina shida ya kigugumizi kikali sana, na kazi yangu mara nyingi ni ya kuongea hivyo napata ugumu sana kuitekeleza, Je kwa kumshirikisha bakora naweza kupata dawa ya kuondoa tatizo...
  6. Ajuza wa JF

    JamiiForums Tanzania Huu mwaka 2023 ni kama umekwisha, umefanya nini cha maana?

    We Acha tu, nimeamua nifanye vitu vingine mahaba nimewaachia wengine. Mpaka mimi na nafsi yangu tutakapomaliza tofauti zetu tukubaliane kutokukubaliana maana moyo wangu mara nyingi umenisaliti
  7. Ajuza wa JF

    JamiiForums Tanzania Huu mwaka 2023 ni kama umekwisha, umefanya nini cha maana?

    Siyo jino unalolijua wewe ni mtoto wa mama mkwe kanitesa vya kutosha.
  8. Ajuza wa JF

    JamiiForums Tanzania Huu mwaka 2023 ni kama umekwisha, umefanya nini cha maana?

    Pengo lipo la kudumu wala sihitaji kuliziba moyo wangu umekufa ganzi kabisa
  9. Ajuza wa JF

    JamiiForums Tanzania Huu mwaka 2023 ni kama umekwisha, umefanya nini cha maana?

    Nimefanikiwa kung'oa jino lililokuwa linanisumbua, lilikuwa linaniuma naona kabisa kuwa hili jino halinitaki bado nikawa naling'ang'ania, mara nilizibe, mara nisukutue kwa chumvi ili mradi tafrani. Kuna siku moja nikasema wewe jino basi tena. Hapa nilipo nateswa na maumivu ya kidonda kwenye fizi...
  10. Ajuza wa JF

    JamiiForums Tanzania Ushuhuda: Mkojo wangu wa asubuhi ulivoniponya

    Tupe nondo mkuu kuna mtoto wa mama mkwe nimeshindwa kumtoa moyoni, nadhani hapa nitafanikiwa.
  11. Ajuza wa JF

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Ni kweli kabisa
  12. Ajuza wa JF

    JamiiForums Tanzania Jinsi gani uliweza kuendelea baada ya kuachana na mpenzi uliyekuwa unampenda sana?

    Napitia kipindi kigumu mno wiki hii nimepigwa kibuti, hapa nina mawazo ya kutosha, mpaka sasa sijalala na tangu niachwe nalala masaa mawili tu . Najipa muda najua yatapita, nimesoma uzi wote mwanzo mpaka mwisho nashukuru nimepata kitu.
  13. Ajuza wa JF

    JamiiForums Tanzania Dread locks zinavyofanya wadada wazeeke sura

    Kupanga ni kuchagua anayetaka kuweka dread na aweke asiyetaka na aache dread siyo za kila mtu kuna nywele nyingi za kusuka
  14. Ajuza wa JF

    JamiiForums Tanzania Unabii umenishukia kuhusu uchaguzi wa Mwaka 2025 na Maisha baada ya hapo

    Yanaanzaga hivi hivi hatimaye yakitokea uzi unafufuliwa, hujataja watumishi wa umma unawaona wapi? Kwenye maono yako?
  15. Ajuza wa JF

    JamiiForums Tanzania Mwanachama Mpya

    Karibu mwayego
Back
Top Bottom