Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,487
- 283,888
Mauzo ya dhahabu za akiba hayo
Kabisa mkuu.Ila kweli!
Wakati tukipiga kelele kufungiwa jf wewe ulikuw wapi, maana hata waliopo abroad wengi walipata hizi taarifa.Sikujua hilo
Nipo nipo tu bwasheeWakati tukipiga kelele kufungiwa jf wewe ulikuw wapi, maana hata waliopo abroad wengi walipata hizi taarifa.
Kumbe?Sisi ambao tuko nje ya Tz ban haikutuhusu. Ban ilikuwa kwa wala vumbi tu.
Tayari. Futa VPN sasa.Mbona bado??
Basi kwa Halotel bado inazinguaTayari. Futa VPN sasa.
Endelea kuwepo wepo tu mangiNipo nipo tu bwashee