Ulishawahi kuingia mziki wa NYUKI wewe. Mimi walishawahi ingia ndani ya gari naendesha na liko Kasi..
Nilikuwa nalia huku nimeshikilia kwa Nguvu usukani, Maumivu yake hayaelezeki. Nahisi Nyoka na nyoka ndo wabaya Sana. Maana ni ngumu kuwakimbia kwa haraka.
Merlin niliiangalia 2016
Nimeirudia tena mwaka huu baada ya kumaliza kuingalia miaka 11 iliyopita.
Nimeangalia series zaidi ya 100 hadi sasa.
Ila SNOWFALL ni zaidi ya zote.
Kama Una leseni ya Udereva, Nenda Kaombe passport Sema wewe ni DEREVA Wa IT. Utapata haraka bila kuambatanisha kielelezo vingi vya hitaji la passport yako. Na maswali yatakuwa mchache
Mkuu kama unataka kuwa Tajiri Kama ulivyosema ni kuangalia Sana upande Wa decentralised in Blockchain.
Kikubwa husichoke kujifunza maana hatua zote ulizozitaja umepitia ila uzuri haujadumu na umejifunza mengi ikiwemo na Changamoto zake.
Husisite kama huko Dar kwenda Pale Makumbusho MWANGA...
Ukiondoa uanasheri, urubani na alionao. Huyu Mtu anabakia kuwa Darasa la Saba aliyechangamka.
Haifai na Afiti kokote.
Na bila Ajira ya fani hiyo kwenye maisha hawezi kutoboa.
Huu ni ukweli mchungu..
Tuache janja janja na Uongo Wa kuwaaminisha watoto wetu kuwa tunawapa Elimu Bora ili Hali wakimaliza tunangaika tena kuwarudisha Veta.
Mtu ana pHD Au DEGREE hata kubadilisha bulb kunamshinda anaitwa fundi. Kitanda kinapiga kelele kwichii kwichii hawezi tengeneza Anita...
Mataifa ya magharibi kusema yanakunyonya wewe Mwafrica ni Uongo...
Maana hayajakushikia Mtutu Wa bunduki, wala kukufunga mnyororo miguuni na mikononi.
Je, wanafanya Kazi Kwa kusainishana mikataba? Je, mikataba hiyo anayeisani na kuingia Makubaliano hayo ambayo wewe unaiona ni ya Unyonyaji ni...
Kutokana na facts Fulani Fulani, na mambo mengineyo ya kibiashara, na mambo ya mzawa as first priority na Ushirika na ubia alionao AZAM Na Serikali Kwa mambo mengi.
Ni Ngumu Serikali kumnyanga hati miliki ya Maudhui hayo AZAM na kumpa DSTV.
Hili Hali AZAM anahiitaji hiyo biashara na hayuko...
Umenielewa vibaya sijasema Kwamba Azam ndiye anayetoa kibali.
Ila nilichomaanisha ni Kuwa Kwa Sasa aliyepewa kibali cha kuonesha League kuu Kwa Sasa ni AZAM.
Swali lako lilikuwa Kwamba "Leo", na Mimi nikakujibu Kwa Leo haitowezekana Kwa kuwa AZAM ndiye aliyenakibali, alichopewa Kwa mkataba na...
Kwasasa itakuwa ni AZAM TV Maana wako kwenye mkataba. Kwa Uwekezaji alioufanya Azam na juhudi ambazo Azam anazifanya kwenye serikali Hii na Kodi anayolipa na gawio analotoa Hakuna wakumtoa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.