Nimara yatatu sasa nimekuwa nakata tiketi zahili basi lakini siku yasafari wanafanya ndivyo sivyo!! Miezi minne nyuma nilikata tiketi ya mwanza to dar ilikuwa namsafirisha mtu' wakanicharge pesa ya basi luxury lakini asubuhi nikakuta gari tofauti' bovu, siti hazipo kwampangilio, simu yaofisi...
Mkuu Kunajamii yawazungu wanahuo utamaduni pia' tena niwakristo nawanashiriki kweny ibada' kuna kipindi kinarushwa national geographic channel na tlc' wanaeleza kuhusu maisha yao...
Kama sikosei kipindi kinaitwa 'meet the polygamist..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.