Recent content by aikasiya

  1. A

    WasafIrI wa mwanza-dar' Princess Muro sio gari lakupanda!!!

    Nimara yatatu sasa nimekuwa nakata tiketi zahili basi lakini siku yasafari wanafanya ndivyo sivyo!! Miezi minne nyuma nilikata tiketi ya mwanza to dar ilikuwa namsafirisha mtu' wakanicharge pesa ya basi luxury lakini asubuhi nikakuta gari tofauti' bovu, siti hazipo kwampangilio, simu yaofisi...
  2. A

    walimu wa zamu hammfanyi kazi yenu sawasawa

    Div five @work
  3. A

    brand new samsung electronics kwa bei nzuri

    MIlango mIwIlI, Side by side fridge?? Bei
  4. A

    Movie iliyowahi kukutoa machozi....

    Neria' enzi hizo!! Watoto namama yao walinitoa machozi..
  5. A

    Ujio wa PSquare - ITV Taarifa ya Habari.

    Habari zakumfaa mwanakijiji nizipi pia? Tani za pembe zandovu zakamatwa? Mijamaa kukamatwa namadawa yakulevya? Muwekezaji kapora ardhi yawanakijiji hawana pakulIma? Wafanyakazi kugoma wanadai maslahi zaidi' ........e.t.c Bora kuburudika sometimes!!!
  6. A

    Utajiri wa maaskofu Tanzania: Gwajima tajiri no.1

    Ushetani tu hamna lolote!!! Eti mchungaji..... My foot
  7. A

    kumbe mzee sepetu alikuwa mkristo??

    Nimkristo' mama ndie muislamu..
  8. A

    Ndoa ya wake wengi si haki kwa Wazungu, kwa nini?

    Mkuu Kunajamii yawazungu wanahuo utamaduni pia' tena niwakristo nawanashiriki kweny ibada' kuna kipindi kinarushwa national geographic channel na tlc' wanaeleza kuhusu maisha yao... Kama sikosei kipindi kinaitwa 'meet the polygamist..
  9. A

    Msaada

    Nimejifungua kwa operation, naomba njia ninazoweza tumia ili tumbo lirudi.. ninamwezi sasa kidonda kimepona! Ila tumbo bado kubwa..
  10. A

    O'level

    Nzuri kwa performance' Mimi me..
  11. A

    O'level

    Wadau Shule gani nzuri ya private kanda yaziwa'? Hata zaseminary '' Christian'' Kwa o'level.....
  12. A

    Ujumbe wa Masogange aliouandika ukurasa wa twitter

    Akirudi wampe nabendera yanchi basi' si balozi wao!! Amewawakilisha vema... Poor tz..
Back
Top Bottom