Mm s wa namna hiyo. Nimewsiliana na wazee wangu (nakaa mbali na wazazi), nimewambia kusitisha mipango ya harusi kwa kuwa kwa wakati huu fedha imenichenga.
Hahahaha. Wanaume tunapitia changamoto wakati mwingine. Nimelileta kwenu mnisaidie mawazo. Bado nina muda wa maamzi. Nimemweleza baba yangu mzazi kuwa majibu ya ndoa nitayatoa muda s mrefu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.