Naomba ushahuri wenu tafadhali

Naomba ushahuri wenu tafadhali

6Mil. Vipi watakupa na gunia la mkaa na mahindi ya kula mtoto wao?

Mkuu haya mambo bhana sometimes inabidi tujifunze kitu, hawa viumbe kwasasa wako interested sana na kitu kinaitwa ndoa, yaani ukijikuta umeropoka ndoa ni lazima ujiandae kisaikolojia....

Hapo mkuu mimi naona kaa na mwenzako ongea naye naumueleze hali halisi iliyopo na uliyonayo kwasasa kwa maana ukikaa kimya itakuumiza mno...

Mimi nafikiri upande wa mwanamke kama kweli wanathamini upendo ulionao kwa mtoto wao wangeikubali hiyo 3Mil. Then hiyo nyingine uende kama ni msikitini au kanisani mbariki ndoa yenu mkija nyumbani hiyo 2.5Mil muanzie maisha ya ndoa just simple....

Unless labda hao ndugu baada ya kupitishiwa kadi ya harusi kama makusanyo yatakuwa more than 15Mil. Hapo labda
 
Bro samahani sana,
Unasema mahali mil6 ukakubali- UJINGA HUO
Bdo kodi inakukimbiza inaonekana unaishi nyumba yakupanga badala u struggle ununue hata kiwanja - UPUMBAVU HUO
Na bdo mchumba wako wanakupangia hawatak ndoa yakawaida - UZOBA HUO


Sasa unaelekea kwenye - USHOGA
mkuu nmecheka aiseee
 
Napitia wakati mgumu kama huo
6Mil. Vipi watakupa na gunia la mkaa na mahindi ya kula mtoto wao?

Mkuu haya mambo bhana sometimes inabidi tujifunze kitu, hawa viumbe kwasasa wako interested sana na kitu kinaitwa ndoa, yaani ukijikuta umeropoka ndoa ni lazima ujiandae kisaikolojia....

Hapo mkuu mimi naona kaa na mwenzako ongea naye naumueleze hali halisi iliyopo na uliyonayo kwasasa kwa maana ukikaa kimya itakuumiza mno...

Mimi nafikiri upande wa mwanamke kama kweli wanathamini upendo ulionao kwa mtoto wao wangeikubali hiyo 3Mil. Then hiyo nyingine uende kama ni msikitini au kanisani mbariki ndoa yenu mkija nyumbani hiyo 2.5Mil muanzie maisha ya ndoa just simple....

Unless labda hao ndugu baada ya kupitishiwa kadi ya harusi kama makusanyo yatakuwa more than 15Mil. Hapo labda
 
Huna mwanamke bado. Kama hawezi kujua hali yako, uwezo wako wa kifedha na hali unayopitia huyo si mwanamke anayekufaa. Ila ww Ndo unafahamu zaidi yawezekana ni wale wanaojifanya wana mihela, wale wanaokopa bank wakafanye shopping. Kila la heri
 
Mm s wa namna hiyo. Nimewsiliana na wazee wangu (nakaa mbali na wazazi), nimewambia kusitisha mipango ya harusi kwa kuwa kwa wakati huu fedha imenichenga.
Huna mwanamke bado. Kama hawezi kujua hali yako, uwezo wako wa kifedha na hali unayopitia huyo si mwanamke anayekufaa. Ila ww Ndo unafahamu zaidi yawezekana ni wale wanaojifanya wana mihela, wale wanaokopa bank wakafanye shopping. Kila la heri
 
Habari za wakati huu wakuu. Nawasalimu sana.
Moja kwa moja kwenye hoja ya msingi "Naomba Ushauri Wenu Tafadhali".

Nina mchumba ambaye nimekwisha posa na kujitambulisha nyumbani kwao. Tumepanga kuoana mwezi wa saba.

Kwa bahati mbaya kwa sasa ninapitia kipindi kigumu kifedha, kiasi cha kushindwa kutimiza maandalizi ya ndoa na harusi.

Bado sijalipa mahari ( nimetozwa ndefu kidogo 6Millioni), na kiukweli kwa sasa hata kodi ya nyumba inanikimbiza. Mbaya zaidi binti ameshawatangazia watu wake wa karibu na kuwapa kadi za harusi.

Wazee nao wanasema walau nilipe milioni 3 kwanza ndo mambo yaendelee.

Nimejaribu kumwabia tufunge ndoa ya kawaidi (bila harusi) lakini binti, wazazi (wangu na wake) hawako tayari.

Ninaotamani kuomba kuahirisha lakini roho inakataa. Nifanyeje?

Asanteni
Mkuu mkenge huo
 
Mm s wa namna hiyo. Nimewsiliana na wazee wangu (nakaa mbali na wazazi), nimewambia kusitisha mipango ya harusi kwa kuwa kwa wakati huu fedha imenichenga.
Na huyo mwanamke asikuumize kichwa. Kama anakupenda na anakuelewa atengeneze mazingira ya ndoa yanayofanana na nyie na mazingira mliyonayo. Kinyume na hapo si mtu sahihi kwako.
 
Achana na hiyo mahali ambayo kihalisia inaonyesha udhalilishaji wa hali juu kwa mwanamke pasipo ya hao wazazi kujua. Umewauliza ni kwanini wanataka mfanye harusi ya kifahari hata kama uwezo wenu hauruhusu?

Waambie huna uwezo wa kufanya harusi wanayoitaka wao bila kupepesa macho na kama wao kama watang'ang'ania harusi kubwa waulize kama wako tayari kui-finance.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom