Ni haki ya mwananchi kujua na kusema coz ni kodi zilizolipwa na wananchi ndio hata hizo bombadier zikanunuliwa ni haki mwana nchi kujua kodi tunazotoa je zinafanya mambo husika
Road licence kwa mfano gari imeharibu spea ikawa haipatikani bongo au umekwama kiuchumi ukapaki gari ika kaa mwaka mmoja bila kuitumia lazima uilipie na wakati hilo gari halikutoka ndani mwaka mzima je nayo ni halali...au kuumizana tu
Kama wewe muislamu rukhsa kuowa wanawake wanne pia umeisha mtoa bikra binti wa watu halafu umtelekeze jua ukimuacha na binti kila akiziniwa unapasenti zako hapo za dhambi coz wewe ndio umemuonjesha asali ....kuwa mwanaume mwenye uamuzi wa kiume
Lask week kafa mama wa kihindi kapigwa risasi ktk duka la M-pesa juzi mchina kapigwa risasi na mdogo wake kapigwa mapanga leo hii tukio limetokea mchana hapo maeneo ya mwanza hotel muhindi na mbongo mwenzetu wamejeruhiwa na risasi nchi inakwenda wapi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.