Mpunga sikuhizi kyela hakuna kitu ns usangu wanaweka mbolea na madawa mpunga mzuri ni wa kamsamba rukwa huo ndo super kwa sasa ni mtamu na unanukia balaa na kule hawaruhusu mbolea mashambani mwao
Mama ntilie wabadilishe mapishi badala ya maandazi wauze skonzi na mabanzi plus mikate ya ufuta, vibibi au watengeneze maandazi ya kupambia ambayo hayatumii mafuta mengi
Mimi nimeishi na paka na kulala nao zaidi ya miaka 20 sijawahi umwa kikohozi kwa ajili ya manyoya yao afu ukiona paka anajikuna sana mnyunyuzie dawa ya viroboto ndo huwa vinawasumbua na akiwa mdogo mpe kidonge cha minyoo atakuwa vizuri tu
Afu vumbi la kongo linafanya mashine inakuwa ngumu haswa na mishipa kutokeza yaani baada ya raha ni karaha hapo ujiandae kupata na vidonda ukeni maana masaa mawili mtu hakojoi mpaka kuja kumaliza show nzima unaumwa siku tatu
Watumia viagra na vumbi la kongo wapo wengi tu wengine hata miaka 40 hawajafika, wanaume wengi tu 36 nguvu za kiume hamna mkienda bao moja tu hoi kulitafuta la pili na shughuli haswa embu kuleni vizuri na mfanye mazoezi
Saizi tutakuwa tunakwepa vizee japo kuhonga vipo vizuri nimekumbuka mmoja hata kutembea ilikuwa shughuli afu alikuwa na kitambi mwenyewe anahema juuu juu 😀😀😀
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.