Recent content by agudev

  1. agudev

    Mwenge wa Uhuru unahifadhiwa wapi baada ya kutembezwa?

    Mmhh, mkuu una uhakika na hiki? katika pita pita zangu nimekuta sehemu zinasema upo chini ya Wizara ya Vijana, Utamaduni na Michezo na wanauweka Dodoma, sehemu nyingine wanasema huwa unaoneshwa makumbusho ya taifa lakini hauhifadhiwi humo ila sijakuta sehemu ikisema kuhusu Ikulu. Chanzo gani...
  2. agudev

    Mwenge wa Uhuru unahifadhiwa wapi baada ya kutembezwa?

    Kwa hyo ukitembelea makumbusho kipindi nje ya mbio za mwenge unaweza kuuona?
  3. agudev

    Mwenge wa Uhuru unahifadhiwa wapi baada ya kutembezwa?

    Habari za muda huu wanajamvi, Naomba msaada kwa anayejua wapi mwenge wa uhuru unapohifadhiwa baada ya mbio za mwenge. Mwanangu wa shule ya msingi alinipiga hili swali jana nikawa napepesa macho tu, shuleni kwao wapo katika topic inayohusiana na mambo ya uhuru wa Tanzania pamoja na mwenge wa...
  4. agudev

    Nataka kusearch mtandaoni ile midoli inayovalishwa nguo katika maduka ya nguo

    Zaidi ya kuoneshea nguo madukani, ina matumizi gani mengine?
  5. agudev

    Ongeza ukubwa wa storage kwenye Flash yako

    Mkuu, hapa unatupiga chai, hii unayoongelea ni compression ambayo inapunguza ukubwa wa mafile sio kuongeza ukubwa wa flash.
  6. agudev

    Huenda TANAPA & NCAA zikazikwa kama Viwanda vilivyozikwa Tanganyika

    Inaitwa Tanzania bara sio Tanganyika. Tanganyika iliisha toka 1964, sielewi utanganyika na uzanzibari unaingiaje kwenye point yako, ishu yako ipo kwenye muungano au namna ya uendeshaji wa mbuga za wanyama?
  7. agudev

    Huenda TANAPA & NCAA zikazikwa kama Viwanda vilivyozikwa Tanganyika

    Mleta mada unaweza kuwa na point unayoleta jamvini lakini hii Tanganyika unayoongelea ni kitu gani?
  8. agudev

    Msaada juu ya hii kitu (dns.adguard.com)

    Ili kujua njia hii inafanyaje kazi kuziba/kuzuia matangazo inabidi kujua kuhusu namna DNS (Domain Name System) inavyofanya kazi, kwa kawaida katika internet ili computer moja iweze kuwasiliana na computer nyingine inabidi kujua anuani yake ya kimtandao (Internet Protocal address au IP address)...
  9. agudev

    Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

    Mtoa mada nafikiri unachanganya dini na Mungu, dini ni namna kikundi fulani cha watu kinavyotafsiri jinsi Mungu (au Miungu) alivyo na namna ya kuishi kuendana na maagizo ya Mungu huyo. Dini hasa ya kikristo ni dini ambayo imekuwa ikitumika na watu wachache wanaoibuka huko wanakotoka na...
  10. agudev

    Kwanini tunavaa pete ya ndoa mkono wa kushoto?

    Zipo nchi nyingi tu zinazovaa pete za ndoa mkono wa kulia kama India, Urusi, Ujerumani, Poland, Hispania n.k sasa sijui unaposema "karibu dunia nzima" unamaanisha nini?
  11. agudev

    Miradi ya Maprofesa wa Bongo

    Nafikiri mtoa mada anaongelea maprofesa, sidhani kama yeye ni profesa.
  12. agudev

    Kwanini tunavaa pete ya ndoa mkono wa kushoto?

    Nakubaliana na point yako ya kwanza na ya pili lakini hii ya tatu inaonesha wengi wetu tunavaa pete mkono wa kushoto kwa mkumbo tu na hakuna maana yoyote nyuma yake
  13. agudev

    Kwanini tunavaa pete ya ndoa mkono wa kushoto?

    Kitu gani nilichosema hapo kinatokea zama za mawe au kipo outdated? Sijaongelea hiki kitu kwa watu wote duniani (halafu hata hii 10% unayoisema sijui umeitolea wapi?). Kila jamii duniani ina namna ya vitu inavyoamini kuwa miiko na visivyo ruhusiwa katika jamii hiyo, miiko na makatazo yaliyopo...
  14. agudev

    Kwanini tunavaa pete ya ndoa mkono wa kushoto?

    Habari zenu wanaJF na hongereni na majukumu ya kuendeleza taifa hili. Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, nimekuwa nikitatizwa na hili swali kichwani na nimejaribu kuuliza watu mbalimbali hasa Wakristo waliooa, majibu niliyopata mpaka sasa kusema kweli hayajaniridhisha kwani inaonekana watu...
  15. agudev

    Ushauri: Nawezaje kujifunza coding from scratch.?

    Coding za aina gani unaona una uelekeo nao zaidi? Hili swali ni la lazima kujiuliza kwa sababu kama sivyo utakuwa ukizunguka zunguka ukigusa hiki na kuacha, utashika language hii utaacha, utashika nyingine utaacha. Inabidi kujua unataka kucode ili uwe unatengeneza nini? Profession za code zipo...
Back
Top Bottom