Mkunga/ daktari ndio huzalisha
Hujiulizi kwanini baba na mama huitwa wazazi? Kwanini mama pekeyake asiitwe mzazi.
Mwanaume anamfumo wa uzazi pia mwanamke anamfumo wa uzazi rejea topic ya reproduction form three
Hawatoi nafasi za kujitolea ili mtu upate experience, lakini wakitangaza kazi vigezo vyao wanahitaji uwe na experience. Sasa hiyo experience naipataje Kama nimetuma Maombi kibao ya kujitolea kwenye makampuni lakini wanassma nafasi hazipo
Hata Kama alikuwa na mazuri, ila kitendo Cha kuvamia Kagera ilikuwa haina jinsi . Au mtoa mada ulitaka tumuache tu licha ya kubomoa kiwanda Cha sukari Kagera. Yaani adui anakuvamia halafu eti umuache kisa ukitetea kumpiga ili ukombea ardhi yako inaonekana wewe ni mdini unatumiwa na mabeberu
Natamani hao wajeda wangekuja maskani.. aisee ningenoa panga na ningehakikisha naondoka na kichwa Cha mjeda mmoja . Huu ni ubwege unakubali vipi kupigwa ukiwa kwako Tena bila kosa ? Huo ni umama
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.