Recent content by Agresive

  1. Agresive

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimedhalilika ...

    Kuna mzee mmoja alisema Masikio ya wanawake siyo hayo unayoona wewe kwa suala la mapenzi hayo hayasikii, ila masikio halisi na yanayosikia ni K na watu wanaojadili jambo wakiwa hawana nguo waepuke sana
  2. Agresive

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mtoto wangu ana baba wawili

    Acha huruma za kijinga na kuwa Mwanaume. Mpaka hapo unataka ushauri gani, unafikiri mbegu zako ndiyo zinafanya kazi kuliko za huyo aliyekaa naye muda wote. MWAMBIE HUTAFANYA CHOCHOTE MPAKA ATAKAPOPIMA DNA, HALAFU KAUSHA. NA SAHAU
  3. Agresive

    JamiiForums Tanzania Hakuna mtu anayekupenda: Ni suala la muda tu, watu wanasahau mapema sana

    Naunga hoja, maisha ni yako tu, na kumbuka ukishafikisha miaka 30 kila tatizo unalopata juwa utalitatua mwenyewe na usiwaze kuwa utapata msaada kwa,ndugu!!!
  4. Agresive

    JamiiForums Tanzania Mambo usiyoyajua kuhusu msitu wa Amazon

    Andiko zuri, japo tumefahamu machache kuhusu msitu huo
  5. Agresive

    JamiiForums Tanzania Harufu ya utapeli, kuna watu watalia na kusaga meno soon

    Hata sijaelewa hii issue
  6. Agresive

    JamiiForums Tanzania Chanzo cha ufukara wa mtanzania ni kua na poor mindset

    Ujumbe muruwa
  7. Agresive

    JamiiForums Tanzania Aliyemchoma Mwanamke visu 25 na kumsababisha Kifo afariki dunia akiwa chini ya ulinzi

    Afadhali ametupunguzia mzunguko wa kesi
  8. Agresive

    JamiiForums Tanzania Nimezinguana na askari wa Suma JKT Hospital ya Benjamin Mkapa

    Kichura chura hakikuhusika kweli
  9. Agresive

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri wenu wana JM kwa Jambo ili

    Sijakuelewa ila marinda bado yupo mkuu???
  10. Agresive

    JamiiForums Tanzania Maskini anaanzia umri gani?

    Umasikini huanzia miaka 5 tu baada ya kuandikishwa shule, wenzako wanapewa pesa wewe unaishia kuomba, uniform 1, viatu pea moja, mfuko sport wa madaftari badala ya Begi unajuwa tayari vita imeshaanza. Maana umaskini huanzia kwa wazazi wako. Case closed
  11. Agresive

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna sehemu Tanzania umeme huwa haukatiki?

    Mikocheni Dar mitaa ya kairuki Hospital haukatiki kamwe. Dodoma mjini, UDOM, chuo cha Mipango na maeneo mengi ya Dodoma hakuna mgao wala kukatika.
  12. Agresive

    JamiiForums Tanzania Mliowahi chukua mkopo kwenye hizi taasisi za tulia na mo foundation Mtupatie ushuhuda?

    Umeuliza swali ili ujuwe kuhusu hizo taasisi umepewa majibu sahihi ambayo ndiyo sahihi wewe unaendelea kubisha. SASA USITUCHOSHE NENDA UKOPE HUKO HALAFU WEWE NDIYO UTATULETEA MREJESHO KAMA NI MATAPEL AU LAA MAANA UPANDE TUONAOJUWA SISI KUWA HAO NI MATAPEL WEW UNASEMA WATAKUTAPELIJE SASA NENDA...
  13. Agresive

    JamiiForums Tanzania Kuchana noti ya elfU kumi kuna dhana gani kiimani?

    Kuzuia chuma ulete na lisemwalo lipo kama halipo laja, we bado inaonesha hujaanza haso za kufanyia biashara uswahilini utaelewa tu.
  14. Agresive

    JamiiForums Tanzania Gari hizi usisafiri nazo Mkoani: Usifanye haya, Tanganyika inakuhitaji.

    Uzi mzuri sana na ujumbe mzuri pia
  15. Agresive

    JamiiForums Tanzania Huu mwaka 2023 nakubali nimekwama

    Fafanua vzr what happen
Back
Top Bottom