Mwanangu nakushauri uachane naye mapema kwani uchumba siyo ndoa Ila uking'ang"aniza utaishi naye kwa shida sana ni aheri ukosee kuchagua nguo kuliko kukosea kupata mme
Wakati mwingine kumshauri MTU aliyependa ni ngumu kwa kiasi fulani , mvumilie tu hats uone mwisho wake wala usimwache huenda Huyo ndo Mungu kakupangia ila uwe mvumilivu kwa sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.